Habari za jioni wanajukwa wa Jamii Forum
Baada ya Dira 2050 kuzinduliwa leo, lakini pia kwa kuzingatia kuwa huu ndio muongozo wa Taifa kwa miaka 25 ijayo.
Pamoja na kuichambua kiundani mapungufu na mazuri yake, naomba watalam wa uchumi au wajuzi wa haya mambo mtuambie ni maeneo yapi ya kiuwekezaji yanaenda kuwa hotcake au yanafaa kuwekeza kwa miaka 25 ijayo.
Ahsante