ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,115
- 49,838
Wakenya bwana wameanza kuona wivu,kijicho ,kuingiwa hofu na kiwewe Kufuatia diplomasia mahiri anayofanya Rais Samia Kwa Kushirikiana na World Economic giants USA,China na India.
Wakiwa na wivu kwa kile anachofanya Samia wamemtaka Rais wao huyo alimaarufu kama Nabii ambae rating yake imeshuka sana Kwa kuwhindwa kutimiza ahadi zake kuiga mbinu na ikibidi kupata shule Kwa Rais Samia.
View: https://twitter.com/The_EastAfrican/status/1713190933385146831?t=JX89wyfXdQBoILgGu5qviw&s=19
My Take
Nabii hakubaliki nyumbani ,ndivyo unavyoweza sema ila Kwa wenye akili ndio wataelewa kazi kubwa anayofanya Rais Samia kiasi Cha kulinganisha na baba wa Taifa kwenye nyanja ya diplomasia japo Samia ameenda mbali zaidi Kwa kufanya diplomasia ya Uchumi na mahusiano ya kimkakati(Strategic Partnership).
Mungu mbariki Rais Samia,Mungu ibariki Tanzania.
View: https://twitter.com/TanzaniainIndia/status/1713536981991662007?t=lBhVKSWW0mFUuRLiPhBhlw&s=19
View: https://twitter.com/TanzaniainIndia/status/1713539784801649025?t=ALwXo_Gx0F5c1SsHWhE8vA&s=19
Wakiwa na wivu kwa kile anachofanya Samia wamemtaka Rais wao huyo alimaarufu kama Nabii ambae rating yake imeshuka sana Kwa kuwhindwa kutimiza ahadi zake kuiga mbinu na ikibidi kupata shule Kwa Rais Samia.
View: https://twitter.com/The_EastAfrican/status/1713190933385146831?t=JX89wyfXdQBoILgGu5qviw&s=19
My Take
Nabii hakubaliki nyumbani ,ndivyo unavyoweza sema ila Kwa wenye akili ndio wataelewa kazi kubwa anayofanya Rais Samia kiasi Cha kulinganisha na baba wa Taifa kwenye nyanja ya diplomasia japo Samia ameenda mbali zaidi Kwa kufanya diplomasia ya Uchumi na mahusiano ya kimkakati(Strategic Partnership).
Mungu mbariki Rais Samia,Mungu ibariki Tanzania.
View: https://twitter.com/TanzaniainIndia/status/1713536981991662007?t=lBhVKSWW0mFUuRLiPhBhlw&s=19
View: https://twitter.com/TanzaniainIndia/status/1713539784801649025?t=ALwXo_Gx0F5c1SsHWhE8vA&s=19