Ngoda95
JF-Expert Member
- Sep 15, 2011
- 2,681
- 4,896
Hakuna njia ya Mkato..
Endelea kujifariji wakati ukweli ni Kwamba Mlilazimika kuafikiana na Mkulima kwa Sharti kwamba kilichoafikiwa kisiwekwe hadharani.
Ujinga mnaoushabikia ndio unawapa Kiburi watawala, acheni kushabikia ujinga wao waelezeni ukweli.
Sent using Jamii Forums mobile app
Endelea kujifariji wakati ukweli ni Kwamba Mlilazimika kuafikiana na Mkulima kwa Sharti kwamba kilichoafikiwa kisiwekwe hadharani.
Ujinga mnaoushabikia ndio unawapa Kiburi watawala, acheni kushabikia ujinga wao waelezeni ukweli.
Sent using Jamii Forums mobile app