Nchi wanachama wa umoja wa mataifa zinaendeshwa kwa misingi ya Diplomasia!
Kwenye uwakilishi wowote wa kimataifa; Rais anaweza kumtuma hata RC au DC kumuwakilisha kimataifa!
Hivyo Kumzuia mteule wa Rais kukanyaga marekani maana yake ni sawa na kumzuia Rais mwenyewe kukanyaga Marekani!
Walipaswa kufunga ubalozi wa marekani kwanza kabla ya kutoa tamko la kumzuia RC makonda!
Vinginevyo hii habari iwe imetengenezwa na chadema waishio marekani!
Balozi wa Marekani aitwe Ikulu ahojiwe! Ikiwezekana na ubalozi ufungwe rasmi.
Wamembipu Rais Magufuli, atawapigia siku ya kuwaapisha wateule wake Ikulu Jumatatu!
Alamsiki
Kwenye uwakilishi wowote wa kimataifa; Rais anaweza kumtuma hata RC au DC kumuwakilisha kimataifa!
Hivyo Kumzuia mteule wa Rais kukanyaga marekani maana yake ni sawa na kumzuia Rais mwenyewe kukanyaga Marekani!
Walipaswa kufunga ubalozi wa marekani kwanza kabla ya kutoa tamko la kumzuia RC makonda!
Vinginevyo hii habari iwe imetengenezwa na chadema waishio marekani!
Balozi wa Marekani aitwe Ikulu ahojiwe! Ikiwezekana na ubalozi ufungwe rasmi.
Wamembipu Rais Magufuli, atawapigia siku ya kuwaapisha wateule wake Ikulu Jumatatu!
Alamsiki