Diploma ya WDMI na BaED ya DUCE, Ipi potential kwa kitaa?

Ukweli utbaki kua ukwel.
edute na engineering,
Utapata jibu ukiwa peke yako na bahasha yako mkononi mwako iliyo contain cv yako.
Maoni, kwa tz eng ya maji ina soko kulko engineering zote mpaka dk hii, coz inauhtaji wa watalamu wa sector iyo sehemu kubwa.
Mfano, dodoma now inapata maji kiasi cha 40elfu m³ per day lkn kiasi kinacho itajika kukizi mahtaj ni makadirio ya laki 2m³ per day.
DSM inapata around m³ 82elfu za ujazo per day kwa ss na mahtaji ya watumiaji sio chini ya laki1.5 m³ kwa mtambo wa ruvu juu ambao unagawa maji kuanzia pwani na baadhi ya dsm.note "maji yapo inchini ila yanapotelea baharini kwa kukosa wataalamu"
Sahihisho kidogo angalia dsm inahitaji maji kiwango kidogo ya Dodoma.
Nadhani Dar es salaam ina mahitaji makubwa ya maji kuliko mikoa yote Tanzania
 
Tatizo la hawa semi-elites mnashindwa kusimamia ukweli kila mtu anavutia kwake!
Ukiangalia salary scale ya tz huwez ona baed ya duce na teku kuwa zinatofauti na pia diploma na degree kuwa sawa!
Kinachofanya wawe tofauti ni marupurupu na allowances za wiziwiz ambazo kwa sasa zimeondolewa na mh
Tatizo usilijadili kwa kumwangalia mwalm aliyeshindwa mipango but kuna waalimu wenye maendeleo zaidi ya unavyoelewa!
Diploma ya maji na plumbing inaheshimika na kila moja inaheshima yake ila tukija ktk hoja yako ya potentiality ni kuwa duniani wakomboz wa nchi nyingi walikuwa walimu na tusiende mbali hapa kwetu tz tuna mifamo ya kutosha!
Potentiality ya kitu huanzia ndani yako na si fani ila mwisho nikushauri kuwa ww n mtu mzima sasa soma kitu kilichopo ndan ya moyo wako na si kuangalia urahisi kitaa kwani zote hizo ulizozitaja wahitimu kibao wapo mtaani but ukiisoma kitu kilicho ndan yako hakitakusumbua unaweza jiajiri peke yako!
ACHA KASUMBA FATA UKWELI.
 
Acha kuji
Nani kakudanganya Diploma za uhandisi zinachukua D nne? Ww hujasikia mtu ana two au one haendi advance na anaenda technical college, Ualimu ni ualimu ni Ualimu tu ,Fundi tu alieajiliwa ngazi ya cheti unakuta ana mpoteza Mhitimu wa Baed ki salary
Acha kujidanganya MBONA IPO WAZI ANGALIA SALARY SCALE ZA TZ NDO UONGEE UPUUZI WAKO UNAJISHUSHIA HESHIMA BUREES
 
Ww acha kufananisha uhandisi na Wala vumbi la chaki kama unataka kuvaa smart tai ndefu,mchongoko na hela huna na unatembea wa mguu, nenda hio Baed, ila kama unataka kuvaa overall Huku upo kwenye gari yako wallet imevimba na ukitia mguu bar basi heshima nenda Wdmi
Unaongea nn ww wala chaki, sijui uhandisi wengi mnaishia mtaani mnapauka mnakuja kutusumbua mashule eti naomba kaz ya kufundsha
 
Nani kakudanganya Diploma za uhandisi zinachukua D nne? Ww hujasikia mtu ana two au one haendi advance na anaenda technical college, Ualimu ni ualimu ni Ualimu tu ,Fundi tu alieajiliwa ngazi ya cheti unakuta ana mpoteza Mhitimu wa Baed ki salary
Kama mm mkuu Niko dit na one ya four
 
Ukweli utbaki kua ukwel.
edute na engineering,
Utapata jibu ukiwa peke yako na bahasha yako mkononi mwako iliyo contain cv yako.
Maoni, kwa tz eng ya maji ina soko kulko engineering zote mpaka dk hii, coz inauhtaji wa watalamu wa sector iyo sehemu kubwa.
Mfano, dodoma now inapata maji kiasi cha 40elfu m³ per day lkn kiasi kinacho itajika kukizi mahtaj ni makadirio ya laki 2m³ per day.
DSM inapata around m³ 82elfu za ujazo per day kwa ss na mahtaji ya watumiaji sio chini ya laki1.5 m³ kwa mtambo wa ruvu juu ambao unagawa maji kuanzia pwani na baadhi ya dsm.note "maji yapo inchini ila yanapotelea baharini kwa kukosa wataalamu"
Maji yanapotea kwa kukosa wataalamu au kwa kukosa PESA?! Sekta zote nchini ziko hivyo ... Tusidanganyane fulani ni muhimu kuliko fulani..!
 
MUST moja dip ya electrical&electronics engineering 2011-2014, bachelor ya electrical&electronic engineering 2015-2018. Kama unamahaba na engineering wewe njoo sio kufananisha course. Ukitaka kujua kina cha mto dumbukia sio kwa kuzamisha kidole. Siku hizi tokea aingie baba jesca mambo yako very complicated hata hizo diploma za engineering unazoziona ni nzuri kuzipata sio kizembe, moto wa ATC,DIT&MUST sio kinyonge ila kuhusu WDMI sijajua ugumu wake lakini nahisi ni sawa tu. Kama unataka usome course za engineering ningekushauri nenda DAR ES SALAAM MARITIME INSTITUTE (DMI) kasome diploma ya marine engineering huko kidogo wako fresh na unaweza ukatoboa kimaisha baada kupata kazi meli za nje ukilipwa hata $1200 kwa mwezi sio sawa na kulipwa Tsh500,000 kwa muindi. Ila kila kitu kina wezekana shida tu uwe na vigezo vya kudahiliwa.
 
MUST moja dip ya electrical&electronics engineering 2011-2014, bachelor ya electrical&electronic engineering 2015-2018. Ukitaka kujua kina cha mto dumbukia sio kwa kuzamisha kidole. Siku hizi tokea aingie baba jesca mambo yako very complicated hata hizo diploma za engineering unazoziona ni nzuri kuzipata sio kizembe, moto wa ATC,DIT&MUST sio kinyonge ila kuhusu WDMI sijajua ugumu wake lakini nahisi ni sawa tu. Kama unataka usome course za engineering ningekushauri nenda DAR ES SALAAM MARITIME INSTITUTE (DMI) kasome diploma ya marine engineering huko kidogo wako fresh na unaweza ukatoboa. Ila kila kitu kina wezekana shida tu uwe na vigezo vya kudahiliwa.
Atarii Mkuu Engineering ya WDMI ni mwamba kama ilivyo DIT na MUST kwa modules za kutosha na zimesimama na CA yake ujipange of course watu wanarudi om kila kukicha....kwenda WDMI jpangee
 
Ndio kutokana na kozi kuwa potential worlwide walimu wanabana sana na usiombe ukutane na kajamaa kametoka udsm, anataka kudhihirisha kama udsm no bora lazima muisome namba ila ukutane na jamaa waliopiga mbele mbona mteremko tu...
 
Back
Top Bottom