Diploma kwenda Degree na mikopo 2017/18

Diploma kwenda Degree na mikopo 2017/18

MjLuke

Member
Joined
May 29, 2016
Posts
59
Reaction score
11
Habari zenu wanajukwaa ..?? Napenda kuuliza kama kuna Diploma holder yoyote aliyejiunga na Bachelor kwa upande wa afya kapata mkopo mwaka huu maana naona kama tumekosa na kutengwa mwaka huu. Mimi ni muhanga pia. Tusaidiane wadau hata kwa mawazo
 
Mi nasubiri kuapply chuo 2020/2021 Mungu aniweke hai. Nadhani hata wenye miaka 35 tutapewa mkopo.
 
Habari zenu wanajukwaa ..?? Napenda kuuliza kama kuna Diploma holder yoyote aliyejiunga na Bachelor kwa upande wa afya kapata mkopo mwaka huu maana naona kama tumekosa na kutengwa mwaka huu. Mimi ni muhanga pia. Tusaidiane wadau hata kwa mawazo
Kuna diploma wa engineering wengi tu wamepata mkopo n wengne wamekosa pia... So naimani hata afya pia wapo walopata mkopo n kukosa pia km ww... Maana afya ni 1st priority then hizo engineering zinafuatia
 
Wapo walopata na wapo walokosa na hiyo ndio maana ya maombi

900 itapendeza kwasababu unapohamia pahala unahitaji pahala pakukaa(dr louis)
 
Back
Top Bottom