Diploma Holders waliopata mkopo

Science wanayoangalia ni afya, kilimo, education na mazingira kidooogo. Ila kompyuta sayansi sio kipaombele.
na pia kuhusu mkopo wanaangalia sana direct, yaani form six. Watu wa mature au equivalent huwa kidogo sio preority. Kwahiyo kijana tulia kwanza unaweza pata kwa slot zingine. Ila kwa hii ya kwanza na ya pili kipaombele ni sayansi na direct....
 
Tusubir tuone hiyo next lot
 

dah mdau mbona unachochangia na ktu klichoulzwa n tofaut axeee!!
 
Naona bila kuwa na mtu uko upati.. watu wa business wanapata asilimia 100.. wakati science hakuna hata moja wakuzugia.

Hata mimi ndo kimenshangaza hicho
Yaan watu wa priority wamekosa kazi
 
Mkopo nimepata 0%,bora hiyo kuliko kukosa kabisa kwa upande wangu
 

k ma ma ko unadhani waliomaliza diploma wote wamepata kazi?? usilete u se -nge
 
Nashukuru kwa kupata,vipi wengine?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…