Diploma holder ingieni kwenye profile zenu

Diploma holder ingieni kwenye profile zenu

Hiv wakuu si kuna uwezekano kabisa sisi diploma tulioapply mwanzon na gpa ya 3.5 na kuendelea kurudia ku apply tena?
 
Kesho ndio selection zote zinatoka wasiwababaishe wale wa form six na Diploma wote matokeo kesho.
Kila siku kesho lol.....
Nimeingia kumchekia mtu kwenye profile yake nimekuta imerudi kama mwanzo
 
Acheni masihala, kuna Dip holder aliyepata chuo?
 
Wapo...chuo cha maji kimetoa first selection na diploma wapo zaidi ya 90 waliochaguliwa na wengi nimesoma nao dip tayari wamechaguliwa... nenda www.wdmi.ac.tz

Tusubiri vyuo vingine watatoa majina soon
 
Cheki pale Kampala Int University kama ni diploma holder uliapply pale maana idadi kwa kila kozi ni sawa na F6 +diploma holders admission capacity. Tembelea website yao majina yako pale .
 
Yan ukingia profile Yan kila kitu kipo vile vile kama vile ndio tunaaply mi nafurah Sana hili jambo, mana nacte toka. Mwez wa Tatu had leo kimya hakuna tangazo lolote
 
Huu siyo muda wa kuangaika na profile zenu,angalieni majina yanayotolewa na vyuo mkiendelea kuangalia profile zenu mtakufa Kwa presha.Mwaka jana watu tulikonda
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom