Dini za mashetani ni zipi na tabia za kishetani ni zipi

Dini za mashetani ni zipi na tabia za kishetani ni zipi

Shetaniii mwenyewe c .......,.🤔
FB_IMG_1746203025363.jpg
 
Haya mawili huwa yana nichanganya kiasi. Mwenye uelewa anisaidie kujua dini za kishetani zinakuwaje na tabia za kishetani ni zipi.
Mavazi ni full black
Msalaba wao juu ndio kurefu
Wana amri kumi
Ibada zao ni za uchi na zinahusisha ngono
Taa zao ni hafifu na za rangirangi hasa nyekundu
Ni wakimya sana lakini sio wapole
Nk
 
Haya mawili huwa yana nichanganya kiasi. Mwenye uelewa anisaidie kujua dini za kishetani zinakuwaje na tabia za kishetani ni zipi.
Dini za kishetani ni kama ccm, na tabia za kishetani ni kama genge la utekaji linaloongozwa na sa100 suluu asani
 
Mavazi ni full black
Msalaba wao juu ndio kurefu
Wana amri kumi
Ibada zao ni za uchi na zinahusisha ngono
Taa zao ni hafifu na za rangirangi hasa nyekundu
Ni wakimya sana lakini sio wapole
Nk
Na mwisho ni watekaji
 
Kwa mujibu wa Rais Yule mtu anayeanika maovu ya serikali hadharani ni Shetani. Wale wanaovujisha ufisadi sio wazalendo
 
Haya mawili huwa yana nichanganya kiasi. Mwenye uelewa anisaidie kujua dini za kishetani zinakuwaje na tabia za kishetani ni zipi.
Anamaanisha dini za akina Gwajima. Tunataka kumsikia Gwajima akijibu tusi hili mapema kuelekea wikiendi hii.
 
Miaka ya 2012 hivi nakumbuka Nabii Tito wakati hajavurugwa sana alikuwa akipita mitaa ya Mwananyamala anakaribisha watu kwenye Kanisa lake huko Kigamboni, na alikuwa akisema kuwa siku za Ijumaa kulikwa na mikesha na walikuwa na Ibada ya Mshumaa, ambapo walikuwa wanazima taa na kuwasha mishumaa na watu wote walitakiwa wawe kama walivyozaliwa...
 
Back
Top Bottom