Babe hajui bwana ulitaka kusema nnbasi nishaghaili kwanza ukijua utanicheka sana acha nikae nalo halafu kwenye stori zetu huko chimbo tushakutaja taja zaidi ya mara mbele kumbe anakuja kumwaga maubuyu huko SISEMI TENA utanicheka aisee
Mwenye uzi akija kesho atajua uzi umeendelea kapata mawazo ya maana kumne tunamjazia tu pages mtakula ban[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
ntabaki nalo bhana we endelea na kazi yako japo umekuwa mvivu siku hizi[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mimi sisemi kwa sababu mnaweza kunivua nguo na mimi
tuondokeMwenye uzi akija kesho atajua uzi umeendelea kapata mawazo ya maana kumne tunamjazia tu pages mtakula ban
Huu uzi ni wa miaka 3 iliyopita hadi sasa atakuwa kashapata suluhu ya tatizo lake.Mwenye uzi akija kesho atajua uzi umeendelea kapata mawazo ya maana kumne tunamjazia tu pages mtakula ban
Twende wapituondoke
yani hapa ndiyo naamini kabisa kwamba unamwambiaga nimekuambia tukiwa wawili ntakuambia wewe unataka niseme hapa hapaBabe hajui bwana ulitaka kusema nn
Halaf skuangalia tarehe kabisaHuu uzi ni wa miaka 3 iliyopita hadi sasa atakuwa kashapata suluhu ya tatizo lake.
Huniamini?yani hapa ndiyo naamini kabisa kwamba unamwambiaga nimekuambia tukiwa wawili ntakuambia wewe unataka niseme hapa hapa
SISEMI TENA TENA TENA NA TENA
tuondoke
Ona anataka kwenda kujifichaTwende wapi
katikati ya bahari tukaangalie samaki wanavyopiga mbizi au twende wapi babeTwende wapi
Huyo anasinzia na ole wake alaleOna anataka kwenda kujificha
Kumbeee.Halaf skuangalia tarehe kabisa
Karume mpenzi wangu tuangalie mitumba inavyoanikwa bila kufuliwakatikati ya bahari tukaangalie samaki wanavyopiga mbizi au twende wapi babe
Mfunike na blanket atulieHuyo anasinzia na ole wake alale
Yani sikutilia maanani kabisa halaf had umenikwot mejiuliza nimejib hivi liniKumbeee.
Ingekuwa mtihani hapa ungelamba nyuzi 360°[emoji23] [emoji23] [emoji23]
Yuko ndani yake anatafta jinsi ya kulala bila kuniaga tu na mm niamke nimepata sababu nimenunieMfunike na blanket atulie
una uhakika??Huyo anasinzia na ole wake alale
Kumbe siku ile ndio ulikuwa unaniharibia biashara eti mitumba michafu[emoji15] [emoji15] [emoji15]Karume mpenzi wangu tuangalie mitumba inavyoanikwa bila kufuliwa
Sjapanic mdogo wangu ujueumepanic braza
i do trust you darling