Moyo wangu na hata miyoo ya watu wengine tunapata mgagasiko kuhusu umakini wa lowasa,upande mmoja namuona kama atakuja kuwa kiongozi makini na hasiye na masihala na upande mwingine namtilia shaka naona kama ataweza kuididimiza nchi,hii kutokana na uwekezaji wa pesa katika kuutaka uraisi,wewe mwana jf naomba niondoleeni mgagasiko huu