Dili la Nabi Kwenda Kaizer Chief Labuma

Dili la Nabi Kwenda Kaizer Chief Labuma

Shark

JF-Expert Member
Joined
Jan 25, 2010
Posts
29,915
Reaction score
30,027
IMG-20230628-WA0011.jpg
IMG-20230628-WA0012.jpg
 
Changamoto zingine ndio hizi Sasa!!
Uko sahihi; alipoacha Yanga alisema anakwenda kutafuta changamoto, hakusema kuwa anakwenda kufundisha kaizer. Changamoto zenyewe ndiyo hizo.

Kinachoonekana ni kwamba alitaka aondoke Yanga na clean record kwa vile yajayo hayajulikani. Angekaa mwaka mwingine akaishia kupoteza kombe mojawapo na huenda kushindwa kufika CAF fainali tena ingechafua rekodi hiyo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom