Dili kubwa la viwanja.

Dili kubwa la viwanja.

GAZETI

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
5,292
Reaction score
6,769
Ni kama unacheza karata tatu lakini ndugu yangu Mtanzania nataka kukuambia
ukweli nipo katika eneo ambalo viwanja ni dili kubwa sana unaweza kununua kiwanja
leo kwa Milioni mbili mpaka nane na ukaja kukiuza kwa milioni 50 mpaka milioni400 ndani ya siku
10 mpaka mwaka1 ni ajabu na kweli kwa atakayeniamini anipm tuongee zaidi. SI UTAPELI
 
Huyu atakuwa tapeli kwann hataki kuwa mwazi badala yake u pm ili apate kukudanganya kiurahisi
 
Kwanini usituwekee Nina la mahali kwenye hivi viwanja? Wewe bila shaka ni tapeli.
 
maeneo gan vipo ivyo viwanja mkuu
 
Haka kamchezo nlikasikia Moro, jamaa anafanya biashara ya viwanja, ni kama jamaa alivyo andika kwenye sredi.
 
Ni kama unacheza karata tatu lakini ndugu yangu Mtanzania nataka kukuambia
ukweli nipo katika eneo ambalo viwanja ni dili kubwa sana unaweza kununua kiwanja
leo kwa Milioni mbili mpaka nane na ukaja kukiuza kwa milioni 50 mpaka milioni400 ndani ya siku
10 mpaka mwaka1 ni ajabu na kweli kwa atakayeniamini anipm tuongee zaidi. SI UTAPELI



Sema viko wapi acha ujanja

ujambazi wa mchana kweupeeee
hajalala mtu apa

Haka kamchezo nlikasikia Moro, jamaa anafanya biashara ya viwanja, ni kama jamaa alivyo andika kwenye sredi.

Kwanini usituwekee Nina la mahali kwenye hivi viwanja? Wewe bila shaka ni tapeli.

Huyu atakuwa tapeli kwann hataki kuwa mwazi badala yake u pm ili apate kukudanganya kiurahisi

hiyo alama nyekundu ipo viceversa ndio mana akajishtukia kuiweka ili wajinga ndio waliwao waamini....ukiwa mkweli hauhitaji maneno meng kujitetea ukiwa muongo inahitaji falsafa ya kutosha..ili uingie mkenge ..AJIPANGE ANUNUE MWENYEWE KWANI YY HAPENDI UTAJRI ? SI ANA FAMILIA? NDUGU JAMAA NA MARAFIKI..KALETA HUMU ANAWAPENDA SANA?
 
Wakuu nimetumia ustaarabu na uzalendo mkubwa kwa ndugu zangu Watanzania juu
ya hili dili, nasikitishwa na wale wanaoniponda kwani sina sifa hizo najua kama yeyote
atafanikiwa basi ni mafanikio ya ndugu zangu Watanzania kwa sasa niko Mozambique na hizo
namba ni za huko naomba kama mtu atapiga apige kesho mchana. NB hayo maeneo yako mozambique pia
SINA LA ZAIDI.
 
Ni kama unacheza karata tatu lakini ndugu yangu Mtanzania nataka kukuambia
ukweli nipo katika eneo ambalo viwanja ni dili kubwa sana unaweza kununua kiwanja
leo kwa Milioni mbili mpaka nane na ukaja kukiuza kwa milioni 50 mpaka milioni400 ndani ya siku
10 mpaka mwaka1 ni ajabu na kweli kwa atakayeniamini anipm tuongee zaidi. SI UTAPELI
si ununue vyote mkuu?
 
Wakuu nimetumia ustaarabu na uzalendo mkubwa kwa ndugu zangu Watanzania juu
ya hili dili, nasikitishwa na wale wanaoniponda kwani sina sifa hizo najua kama yeyote
atafanikiwa basi ni mafanikio ya ndugu zangu Watanzania kwa sasa niko Mozambique na hizo
namba ni za huko naomba kama mtu atapiga apige kesho mchana. NB hayo maeneo yako mozambique pia
SINA LA ZAIDI.

kaka, mozambique sehemu gani?
 
kama una nia nzuri na ya dhati kwanini unafichaficha? kuna siri gani unayoficha kueleza ivo viwanja vipo wapi. na pia katika NORMAL CIRCUMSTANCE haiwezekani kabisa eti ununue kiwanja leo then ati baada ya wiki uje uuze kwa zaidi ya mara 200 kama ulivoeleza.

RUDI SHULE WALIKOKUFUNDISHA UTAPELI WAAMBIE SIJAWAKUTA
SHAME ON U GAZETI

Wakuu nimetumia ustaarabu na uzalendo mkubwa kwa ndugu zangu Watanzania juu
ya hili dili, nasikitishwa na wale wanaoniponda kwani sina sifa hizo najua kama yeyote
atafanikiwa basi ni mafanikio ya ndugu zangu Watanzania kwa sasa niko Mozambique na hizo
namba ni za huko naomba kama mtu atapiga apige kesho mchana. NB hayo maeneo yako mozambique pia
SINA LA ZAIDI.
 
Back
Top Bottom