He is 29yrs old and i am 28. He is a business man.
Katika watu walionikosha ww umeshika nafasi ya kwanza! Personally i have always had a preference for older guys (i don't mean old as in old) but someone who is atleast 7 to 10yrs older than me coz i believe that at that age a man is mature and knows what he's doing. Sasa this time round nikaseme lemmi try pple within my age bracket,dah! Majanga! Just as you've said, tatizo sio uume, tatizo ni uvivu na ujinga ukichanganya na kujitia wakisasa zaidi, i freaking hate this part ryt here and wish i could do something about it!
Tutake radhi aiseee
Sio wote wenye matatizo haya ya kijinga
Halafu rekebisha lugha
Sio wanaume ni wavulana
Pia hilo sio tatizo la uume bana ni uvivu na ujinga ukichanganya na u digitali
CC: Kaizer kwa taarifa!
nipo shikamoo Eiyer!!!Upo malkia?
Mimi nina wasiwasi na Babu Dc tu,lakini mimi niko fiti mbayaaaaaaaaa
Naweza ku deal na hata wanne kwa siku kama nitakuwa nimechoka sana siku hiyo
Wengine tuna mapafu ya cheetah
Vinaunganishwa vinne ..lol!!
Sasa wakati mwingine tunamhurumia laaziz ili asichoke maana nikiamua kuliendesha libeneke atalala hadi kushindwa kufanya majukumu yake
Nyakati za nyuma vivulanma vyenye uzembe kama huu vilikuwa vinatandikwa viboko hadharani na kufanyishwa mazoezi ambayo vilikuwa vikitoka huko vinakuwa vina hasira inayovifanya virudi kwenye mstari
Hivi vya sasa na hizi chips ni majanga matupu
Kavulana hakawezi hata kumaliza ugali wa dona robo kilo huyo ni kijana mtarajiwa kweli?
Sisi wakati huo tuko kijijini tulikuwa tunaletewa ugali wadona la kutwangwa kwenye kinu kilo 4 na tuko watatu tu na maziwa mgando yale ya ukweli yakiwa yamejaa ujazo kama wa lita 7 hivi
Uanliwa ugali hadi unakwisha mnaendelea kulima,kumbuka hiyo ni kama saa 5 au 6 hivi na hiyo ndio chai!
sawa naomba msamaha Eiyer jana hata me nilipost tatizo kama la huyu dada, ambayo rafiki yangu linamkumba na mwenye tatizo ana miaka kama 30 hivi huyu ni mvulana kwani? naomba ms
Nimekuelewa mkuu,ngoja wanangu niwafundishe kula dona!!!!
Leo nimemkumbuka mwl wangu wa kisw,hivi Debe tupu haliachi kutika ni methali,kitendawili au tafsida?
Kiswahili cha kwenye madaftari kigumuuu!!!
aione sista mwenzangu Heaven on Earth.Uko sawa Babu
Wengine watu ikifika muda wa kurudi nyumbani anaanza kuwaza sijui leo itakuwa vitano au saba maana anakuwa anajua mzee akipanda hadi anahisi inawaka moto
Hivi vivulana eti vinajidai ni vi mtu vya digitali wakati vinatia aibu sana,itabidi babu mrudi ili kutoa somo la uhakika maana hii sasa ni hatari
Nina hasira sana na hako kavulana,najua huyo dada ameshajenga hisia za kuidharau hii jinsia adhimu kabisa ambayo Mungu alipoiumba aliipa heshima kubwa sana
Natamani nimuoneshe huyo dada namna MWANAUME anavyotakiwa kushughulika..lol!
ningempata huyo !!!!!! sio mtu anahamia kwenye k hadi inawaka moto ukitoka hapo brek ya kwanza hosp
mdogo mdogo ndo mwendo kwa afya
aione sista mwenzangu Heaven on Earth.
What makes you say that?Marhabaaa mrembo wa moyo wange
Nimefarijika kukuona na kuiona salam yako
Kweli everything happen for reason!
Kuwa mwanaume sio kuwa na umri japokuwa kuna ka uhusiano kidogo
Kuwa mwanaume ni kujijua na kujua majukumu yako
Kama mtu unashindwa kujua kuwa unahitajika umridhisha mpenzi/mkeo je unawezaje kutimiza kajukumu yako mengine?
Hapo ndipo tunapodiriki kusema huyo sio mwanaume bali ni mvulana japokuwa umri wake umekwenda kidogo!!!!!
What makes you say that?
Aiseee...nice day mkuu:shocked:Knowing you here is the reason for me to love you!!
Without JF how could i know you?
Anakuja na hamna rangi utaacha kuonaKhaaaaaaaahhhhhhhhhhhhhhhhh!!!!!!!!!!!!!!
Tafadhali Mods hebu nisaidieni kumpiga ban ya muda Heaven on Earth ili asiione hii
Halafu wewe nimekuonya kwa herufi kubwa,ole wako ukazifikisha hizi taarifa
Na mwenzako Ennie nimeshamuonya
Atakae mwambia tu sijui atampa nini baba paroko ili asimshikishe adabu!!!
okey naow nimeelewa........ sasa watasaidikaje kwa sababu linaonekana ni tatizo lipo kwa kasi sana?
Anakuja na hamna rangi utaacha kuona