Hute
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,537
- 6,482
Wanyarwanda wengi wamekuwa wakijilinganisha na Waisrael, kwamba wao hata kama ni wachache, wanazo nguvu kijeshi kuweza kuipiga Tanzania. utofauti wake nimeona ni kwamba, israel inashinda vita kwasababu kitu cha kwanza wao ni taifa la kibiblia la Mungu, pili ni kwamba, Israel ina umoja sana, wayahudi wana umoja wote, na hata wale waliopo nje ya israel wana umoja. wakati Rwanda hawana umoja, wamegawanyika kikabila, kiasi kwamba mhutu wa Rwanda ambao ndio majority, hawawezi kushirikiana vizuri na watusi ambao ni wachache. kwa maana hiyo ni kwamba, kagame anao maadui wengi ndani ya nchi yake mwenyewe kuliko wale waliopo nje ya nchi na kama vita ikipigwa dhidi ya Rwanda kagame anayo disadvantage wanyarwanda kusaidia adui ili kumng'oa.
kwamfano: Tanzania ikiingia kuipiga Rwanda, Wahutu wote wataisapoti na kuisaliti Rwanda ili kumng'oa kagame aliyeua wahutu wengi mno na wakongo. kama ilivyokuwa idd amin, majeshi ya Tanzania yalipoingia uganda yalisaidiwa sana na waganda waliokuwa wanamchukia iddi amini. ndio maana kuna umuhimu sana kwa nchi kuwa na umoja ili tusisalitiane.
hivyo, pamoja na kwamba wapo wanyarwanda wengi hapa tz ambao wanatoa siri kwa kagame, bado kagame mwenyewe anao maadui wengi sana ndani ya Rwanda kuliko nje ya Rwanda, wengine ni watusi wenzake hawampendi, watapenda kuisapoti tz ili kagame atoke. huu ni udhaifu mkubwa sana ambao TPDF inaweza kuutumia kama ikiamua kuisambaratisha ngome ya kagame, itafanya hivyo kwa kutumia wanyarwanda wenyewe.
kwamfano: Tanzania ikiingia kuipiga Rwanda, Wahutu wote wataisapoti na kuisaliti Rwanda ili kumng'oa kagame aliyeua wahutu wengi mno na wakongo. kama ilivyokuwa idd amin, majeshi ya Tanzania yalipoingia uganda yalisaidiwa sana na waganda waliokuwa wanamchukia iddi amini. ndio maana kuna umuhimu sana kwa nchi kuwa na umoja ili tusisalitiane.
hivyo, pamoja na kwamba wapo wanyarwanda wengi hapa tz ambao wanatoa siri kwa kagame, bado kagame mwenyewe anao maadui wengi sana ndani ya Rwanda kuliko nje ya Rwanda, wengine ni watusi wenzake hawampendi, watapenda kuisapoti tz ili kagame atoke. huu ni udhaifu mkubwa sana ambao TPDF inaweza kuutumia kama ikiamua kuisambaratisha ngome ya kagame, itafanya hivyo kwa kutumia wanyarwanda wenyewe.