Consolata2000
Member
- Apr 13, 2013
- 40
- 4
Habari zenu. Mimi na marafiki zetu tunatengeneza diesel kutokana na mimea na mbegu za jatropha na mimea mingine. Mpaka sasa TBS washachukua samples na kwenda kuzipima.Tuna uwezo wa kutengeneza lita 60 kwa siku. Diesel hii ina faida nyingi ikiwamo ina burn cleaner, inafanya tank la gari lako kuwa safi na kutopata kutu n.k. Bei yake ni sh. 1600 ukiletewa hadi mlangoni. Kwa anayehitaji, tafadhali toa oda yako kwa kuni-PM.