Unajua Mzee Makamba na timu yake hawakuwa watu wema kwa CCM, na JK, walimdanganya kwa kubeba watu kwenye malori na kumwambia eti Mzee hawa watu wooooooote wamekuja kukusikiliza wewe katika kampeni zako, kumbe maskini watu walikuwa wanaambiwa twendeni kunamsanii anaimba anaitwa Ma,.....,,...lo, na mwingine komedi, basi wananchi maskini ambao huwa wanawasikia tu redioni au kwenye tv mbao basi wanajichukulia usafiri, na JK anaona kweli watu wanamkubali kumbe kunauozo, JK cha maana asimame peke yake, afanye maamuzi yenye utashi wake,