kuna tembo alivamia kijiji hata alipouliwa alibaki kasimama. si lazima muda wote lakini inatokea. source: mwanakijiji mmoja tukiwa kwenye bus huko moro alikuwa anaeleza (shahidi wa tukio).
Kenya ndiyo nchi pekee Afrika Mashariki ambayo vyama vipya vya siasa huanzishwa muda mfupi kabla ya uchaguzi mkuu, na pia vyama husambaratika muda mfupi baada ya uchaguzi.