Wana JF leo katika viwanja vinne tofauti vya kampeni Mbunge wa Musoma Mjini ambae ndie Meneja Kampeni wa Arumeru Mashariki(Vincent Nyerere) amemjibu Mkapa kuwa.
Aache unafiki wa siasa kwani ana Siri nzito juu yake ambayo ni muda muafaka sasa kwa Watanzania kuijua,na kudai kuwa yeye si mtoto wa Julius Nyerere kama anavyopotosha Mkapa ila ni wa Josephat Nyerere
Josephat na Julius ni mtu na Mdogo wake(kama hataki ajinyonge) huku akishangiliwa na umati mkubwa Sana uliohudhuria katika viwanja vya mkuytano uliofanyika Sing'si alimtaka Mkapa ajibu na aweke wazi juu ya Kifo cha baba wa Taifa aliyeondoka Butiama akiwa Mzima aliyekwenda tu kupima Afya na kurudi Mfu,huku umati ukipiga Mayowe kwa kushangilia,alitaka aweke wazi kilichomuua baba wa Taifa huku akimwaga Hadharani tofauti zilizojitokeza na Ugomvi kati yake na Mwalimu kilichopelekea Mkapa kuamua na kulazmisha mwalimu apelekwe London kutibiwa(kuuwawa) huku Nyuma akimyamazisha Daktari wa Mwalimu kwa kumpa Uwaziri ili asiseme kilichotokea.
Na alisema ilikuwaje Mkapa ataje Ugonjwa wa mwalimu ili hali Daktari wake yupo?alihoji, amemwaga vitu vingi ambavyo kwa kweli vitaleta Maswali Mengi juu ya wananchi wa Tanzania na dunia kwa ujumlaa...
Nikiripoti kutoka Uwanja wa Mapambano wa Arumeru ni mimi Mgosi Mgeni wenu wa jamii Forums
Mungu awape kansa wote waliohusika kumwondoa Baba yetu.
Kansa aliyopandikiziwa JKN aliipata through toilet paper south africa! walio-initiate na ni UWT !!! baada ya kupata go ahead ya watu wazito walio nje ya nchi hii, they tried several time to poisson him through food, they failed!
Nyerere alikuwa mwiba kwenye globalization though alikuwa dictator kwenye demokrasia!
what i remember,is nilikuwa south africa wakati mwalimu anakufa, na is truth, nilishuhudia pat ya watu kujipongeza mahala kwa kugongeana glas mbaya, nilishangaa sana baadaye ndiyo nikajagutuka ohooooooooo,mmojawapa ni yule jamaa anayesimamia shughuli za uchimbaji wa tanzanite ya wasouthafrika kule arusha
Natural death ikoje na unnatural death ikoje ?
Kiherehere,
You knew Bernard Mambina? He was my uncle. Alikatwa mapanga Tarime. Ila kuhusu Mwalimu, najua daktari wake, ambaye hivi sasa ni mbunge anayo siri kubwa.
Yafaa ukweli ujulikane kama alivyoanza VincentMkapa u a da 1 who wanted diz ...
Muuliza swali kama umeanza kwa guu baya vile!!! Salam haipunguzi kitu na hata sema tu samani. Kamwe hutokaa ufike hapa sebuleni usimkute mtu. Hebu kwanza rekebisha neno Deth hapo juu liwe Death.
JULIUS NYERERE, hakufa kifo cha kawaida.Aliuawa kwa sumu iliyopandikizwa ndani ya mwili wake.Siri hiyo anaijua Daktari wake na baadhi ya maofisa na wasaidizi wake.Alilazimishwa kwenda "kuangaliwa" afya yake na mara baada ya kutoka katika hospitali kwa "checking" hiyo na kuwasili alipofikia Guest wing London alianza kujisikia vibaya na hatimaye alianguka ghafla na kudakwa na mlinzi wake aitwaye Mkanzabi.Ndipo yalipofanyika mawasiliano ya haraka ili kumuwahisha hospitali.cha ajabu wakati anaondoka Tanzania, Mkapa alikuwa akijiandaa kwenda katika mkutano mmoja huko ulaya.alipozidiwa Mwalimu,Mkapa alipitia london kutokea Zurich,lakini kwa mujibu wa madai yake huyu bwana alidai hakuweza kumwona kwa karibu,ila alimwona kwa mbaaali.Hii inadhihirisha wazi kwamba alienda kumsanifu mzee huyo wa miaka 77 akiwa kitandani hoi.Aliporudi Tanzania alikutana na waandishi wa habari na kudai ikulu itakuwa ikitoa taarifa za maendeleo ya Mwalimu huku akisema kwa maneno ya mafumbo kuwa "Mwalimu is recovering slowly"(Dying slowly!).Wakaona mtu wa kumtuma kudhibiti yanayoendelea London ni Kingunge Ngombale Mwiru.Mzee huyu alipewa cheo kuwa mshauri wa Mkapa kuhusu siasa na mbunge wa kuteuliwa.
Mwalimu alifariki dunia na kuzikwa kwao butiama.
Mwaka mmoja baadaye (2000),mkapa alienda Butiama kuhani katika kaburi la Mwalimu.Yaliyotokea pale ni mauza uza ya ajabu ikiwa ni pamoja na kuvunjika kimaajabu kwa msalaba katika kaburi la Mwalimu!!.Yaliandikwa katika magazeti,lakini yalifichwa na kufunikwa.Toka Musoma,Mkapa alienda Mwanza na pale mnakumbuka palitokea ajali mbaya ya basi lililoacha njia na likawa linafuata gari alilopanda Mkapa.Walikufa watu wengi!
Miezi kadhaa baadaye Mkapa alianza kuugua maradhi yaliyomfanya akae nje ya Tanzania kwa muda wa miezi kadhaa kabla ya kurudi akitembelea magongo!!
Ikumbukwe kwamba baada tu ya Nkapa kwenda ulaya kwa matibabu ,nyumba ya Rais ikulu iliungua.Majanga haya ni matokeo ya aliyoyasimamia Nkapa juu ya kifo cha Mwalimu.
Yapo mengi wanayojua watanzania ila kwa hili tuishie hapa kwanza.