Did Israel set ISIS against HAMAS in gaza?

Did Israel set ISIS against HAMAS in gaza?

Kaka habari za mossad na vita vyao nazijua vizuri habari za kina Eli Cohen na mission yake ya syria naijua vizuri na wala sikataai kwamba Israel inahusika kuchonganisha, Mkuu wewe ubongo wako ndio hautaki kuelewa swali langu inakuwaje majihadi wawil isis na hamas in jihad war wakachonganishwa na ------ na wanakubali wanajua wanapigania nini kwa ndio hivyo jihad maanake nini? achana na mossad na israel angalia upande wa pili wa shilingi funguka bro usijione unajua kila kitu hutapahii


ishu hii huezi iangalia kwa jicho la dini.
mbona ujerumani na nchi za ulaya walitumika kupigana vita vya pili?.
au hujui kuwa wayahudi walikua wanafinance pande zote mbili wakati huo?.
 
2changie mada 2ache maneno ya ajab mada nyng hapa jf zinaharibiwa kwa 7bu ya udini spend kbs wanaoharibu mada cio uungwana bali ni upunguwani 2 na ulimbukeni
kama huyu #ishmael kila mada huwa anaharibu cjui kazaliwa wp huyu anaboa sana m2 nzma unakua km vile una upungufu wa akili?acha ulimbukeni wa mitandao mkuu sheria ya mitandao itakufunga bure
 
Isis wame2mwa na israel kule gaza ili wakifika kule warushe rocket israel ili ionekane kuwa ni hamas wamerusha ili wapate kisingzio cha kupiga gaza.hyo ni trick ishachezwa kati ya israel na isis
ili kuimaliza hamas
 
Teyari umesha bwga manyanga weye. Ulifikiri vinavoelea havikuumbwa,
Ulikuwa hujui kuwa kuna nchi zina waislamu wengi kuliko nchi za ME. Unapotupiwa maarifa chukua badala ya kujitia ujuaji weye!
 
Bill Cosby
Umempeleka wapi yule ndugu na Fahmi?
Mwamuzi ndugu na Ishmael kaamua kumficha.
Duh, Msalimie huko aliko.
 
Last edited by a moderator:
2changie mada 2ache maneno ya ajab mada nyng hapa jf zinaharibiwa kwa 7bu ya udini spend kbs wanaoharibu mada cio uungwana bali ni upunguwani 2 na ulimbukeni
kama huyu #ishmael kila mada huwa anaharibu cjui kazaliwa wp huyu anaboa sana m2 nzma unakua km vile una upungufu wa akili?acha ulimbukeni wa mitandao mkuu sheria ya mitandao itakufunga bure

Na wewe huo uandishi wa kuchanganya herufi na namba Mwalimu gani alikufundisha. Chaguo moja namba peke yake au herufi peke yake.
 
Anti-balaka ni wakristo
ISIS ni waislam kwa ajili ya kuua waislam wenzao.Ubishi ni kwamba ISIS iko organizes and funded by JEW kitu ambacho napingana nacho
hivi inaanzaje muislam apewe hela ya kuuangamiza uislam?huyo muislam haupendi uislam????

kila baya linalotokea ndani ya jumuiya ya kiislam sababu huwa ni JEWS au USA kwa mujibu wa waislam.KWA NINI WAISLAM wasione baadhi ya matatizo husababishwa na wao wenyewe waislam????waliishangilia ISIS na sasa ISIS inaanza kuwauwa washangalw



wakati wa vita ya pili ya dunia,mashariki ya kati yote ilikua chini ya ottoman empire.
ni waingereza na wafaransa ndo walichochea waarabu wa mashariki ya kati na kurise agaisnt ottomani empire.
na matokeo ndo ottomani empire ikaajiondoa ikaingia british empire pale na baadae walikaa na kuchora nchi ambazo waligawana na france kuzitawala mpaka baadae wakaziachia.tafuta habari ya lawrence of arabia story upate kujua namna nchi za magharibi zinavyoweza kUuwatumia watu ili kufikia malengo yao
 
so unakuibali kuwa ISIS wanafanya kazi ya israel,au bado unataka ushahidi upi zaidi ya huo?.
kumbuka ISIS wamekua wakichinja watu kama kuku.
ndo mbinu ya wayahudi hiyo,huwa hawajali nani anakufa ilimradi watimize malengo.


juzi wamedondosha bomu la nuclear yemeni,wakati wala vita haiwahusu

duuuuuh jaman ya kweli haya????? bomu la nyukria tena
 
Waachwe tu hao waarabu wachinjane vya kutosha. Wachinjane hadi waishe kabisa ndio maana nchi za magharibi zinawaangalia tu na wala hazina mpango wa kuwasaidia. Wanawauzia silaha za kisasa ili wauane vizuri. Kama waliweza kumuondoa Saddam Hussein kwa mwezi mmoja iweje washindwe kuwaondoa kikundi chenye wapiganaji alfu 20? Vita vya kidini ni bomu litakalolipuka kwa kishindo kikubwa sana huko uarabuni na ni mbinu ya wamagharibi kuwamaliza waislamu.

Waislam mnaponiacha hoi ni kwamba kila kibaya kibachotokea kwenye dini yenu mna mtu wa kumuangushia zigo la lawama, marekani ba izrael. jambo hata kama lina msingi katika dini yenu hamtaki kukubali mnamuangushia marekani na izrael zigo la lawama.

Ina maana waislam hao wa uarabuni hawana akili ya kukataa au kutambua mema na mabaya hadi wawe wanatumiwa kuwaua ndugu zake wenyewea marekani, maana wanauana wenyewe marekani yuko kwake useme yuko hapo karibu anawalazimisha, wao hawajitambui au hawana akili ni maroboti wanatumika tu bila kufikiri kwamba kuna mtu anafikiria kwa ajili yao.

Waislam mnakua kama serikalu ya ccm,kulalamika na kutwisha watu mizigo ya lawama, mfano mgono wa madreva serikali iliamua kumtwisha mkuu wa chuo cha taifa cha ufundi zigo la lawama.

Ni kwa nini ndugu zangu hamtaki kukubali kwamba makosa mengi kwenye dini yenu yana msingi kwenye korani na watu wabaya wanatumia huo mwanya kujinufaisha huku wakiwa na vifungu vya kujitetea kama isis,boko haram, na wengine.

Nyie kila jambo baya linalohisu uislam mmeamua kuwaangushia zigo la lawana wamaekani,lakini hao mnaosema wanatumiwa na marekani huwauwa wamarekani na wanasema adui namba moja wao ni marekani na izrael.

Mimi naona kama waislam mnapoteza mwelekeo kwa kuhamishia nguvu zenu kupambana na marekani,maana vikundi vya kigaidi vinamtuhumu marekani,waiso magaidi wanamtuhumu mmarekani,sasa nani yuko sahihi. kama marekani ni adui ya uislam hao waarabu mnaosema anawatumia kwa niji hawakatai?au marekani kawazidi waislam wote akili?
 
Waislam mnaponiacha hoi ni kwamba kila kibaya kibachotokea kwenye dini yenu mna mtu wa kumuangushia zigo la lawama, marekani ba izrael. jambo hata kama lina msingi katika dini yenu hamtaki kukubali mnamuangushia marekani na izrael zigo la lawama.

Ina maana waislam hao wa uarabuni hawana akili ya kukataa au kutambua mema na mabaya hadi wawe wanatumiwa kuwaua ndugu zake wenyewea marekani, maana wanauana wenyewe marekani yuko kwake useme yuko hapo karibu anawalazimisha, wao hawaji



inaonekana wewe ukiingia jf na facebook umemaliza.

soma kijana,
zipo link nyingi za magharibi ndo zinadai ISIS ni america na israel sponsored
 
Ishmael

so unakuibali kuwa ISIS wanafanya kazi ya israel,au bado unataka ushahidi upi zaidi ya huo?.
kumbuka ISIS wamekua wakichinja watu kama kuku.
ndo mbinu ya wayahudi hiyo,huwa hawajali nani anakufa ilimradi watimize malengo.

juzi wamedondosha bomu la nuclear yemeni,wakati wala vita haiwahusu
Kama unayo sema ni kweli, kivipi Allah wenu anakuwa akbar? Kwanini Allah wenu anashindwa na nchi ya Israel? Hivi huwa mnaelewa mnacho semaga?

Kama Israel inawezxa kuwachonganisha Waislam wote, na Allah wenu anaangalia tu, kivipi sasa Allah anakuwa akbar?
Hivi Allah wenu anatoa msaada gani kwenu? Maana mnatoana vichwa kuliko kuku wa kizungu wana kufa kwa siku.

Pole sana.

UONGO WA MTUME MUHAMMAD NA QURAN KUHUSU KUPASUKA KWA MWEZI NA KUTEMBEA KWA JUA
1. Mtume Muhammad adai kuwa alipasua Mwezi
2. Hakuna Ushahid wa wapi vilipo vipande hivyo vya Mwezi
3. Muhammad adai kuwa Jua linatembea....

Continue Reading
 
Ulikuwa hujui kuwa kuna nchi zina waislamu wengi kuliko nchi za ME. Unapotupiwa maarifa chukua badala ya kujitia ujuaji weye!
JE MUNGU WA WAISLAMU (ALLAH S.W) NA MUNGU WA WAKRISTO (YEHOVA) NI MMOJA?
UTANGULIZI.
Imekuwa ni kawaida sasa kwa miaka zaidi ya ishirini hivi, kusikia katika mihadhara inayoendeshwa na wahadhiri wa dini ya Uislamu, ambayo imeenea sehemu mbalimbali Duniani na haswa katika nchi za Africa Mashariki na Kati, (East and Central Africa). Wahadhiri hao hufundisha jamii kupitia Qurani na Biblia kwa kusema kuwa Mungu ni Mmoja tu. Wasema Mungu kwa Kiebrania anaitwa Yehova , kwa Kiarabu...
Continue Reading
 
Waislam mnaponiacha hoi ni kwamba kila kibaya kibachotokea kwenye dini yenu mna mtu wa kumuangushia zigo la lawama, marekani ba izrael. jambo hata kama lina msingi katika dini yenu hamtaki kukubali mnamuangushia marekani na izrael zigo la lawama.

Ina maana waislam hao wa uarabuni hawana akili ya kukataa au kutambua mema na mabaya hadi wawe wanatumiwa kuwaua ndugu zake wenyewea marekani, maana wanauana wenyewe marekani yuko kwake useme yuko hapo karibu anawalazimisha, wao hawaji



inaonekana wewe ukiingia jf na facebook umemaliza.

soma kijana,
zipo link nyingi za magharibi ndo zinadai ISIS ni america na israel sponsored
ALLAH NI KIUMBE KAMA BINADAMU
1. Allah ana uso kama viumbe
2. Allah ana vaa Nguo kama viumbe
3. Allah ana kaa kwenye Kiti kama viumbe.
4. Allah ana mikono kama viumbe...

Continue Reading
 
we bado huelewi,hebu weka mambo ya imani pembeni labda utaelewa.
ISIS ni jeshi la kuilipwa la israel na wanaopigana chini ya isis wanatoka mataifa mbalimbali duniani na wanalipwa na israel.
umeelewa sasa,au bado kichwa kizito?

kwa hiyo wale tunaowaona wakichinja chinja wengine na kuchoma moto watu huku wengine kuzamishwa kwenye swimming pool halafu wanashangilia Allah akbar ni waisraeli? yaani unataka kusema wale ISIS a.k.a DAESH sio waislamu?
hebu acha kuchekesha watu wewe... ni kawaida yenu waislam mkiona mambo ya aibu mnadai sio Islam au mnasingizia wenye waislam wenye msimamo mkali.. UKWELI NI KWAMBA SASA WAISLAMU WAMEANZA KUONA AIBU KUITWA WAISLAMU
 
Ishmael

so unakuibali kuwa ISIS wanafanya kazi ya israel,au bado unataka ushahidi upi zaidi ya huo?.
kumbuka ISIS wamekua wakichinja watu kama kuku.
ndo mbinu ya wayahudi hiyo,huwa hawajali nani anakufa ilimradi watimize malengo.

juzi wamedondosha bomu la nuclear yemeni,wakati wala vita haiwahusu

we jamaa niaje? bomu la nuclear au umekosea hapo kutype?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom