Diaspora Onyesheni Uzalendo, Mchango Umeombwa na Raisi!

Barbarosa

JF-Expert Member
Apr 16, 2015
22,584
27,817
Huu ndiyo wakati wa kuonyesha uzalendo wenu Madiaspora wote hasa wale wanaoishi nchi zilizoendelea, Raisi Magufuli ameomba mchango ktk kwa wananchi ili kujenga Shule kwa kifupi kuchangia Elimu, nina uhakika kila Diaspora akituma dola 30 za Kimarekani huu utakuwa ni mchango wenu mkubwa sana!

Ningewashauri kwa kutumia vyama vyenu huko mliko mjipange ili muweze kulifanikisha, tujifundishe ktk kwa Waethiopia Madiaspora walichangia kujenga Bwawa kubwa la maji Afrika, kazi ni kwenu!
 
tatizo unachangia fedha kwa jambo ambalo halipo serious.....elimu bure haiwezekani kabisaaa!!!!
 
.....

Ningewashauri kwa kutumia vyama vyenu huko mliko mjipange ili muweze kulifaikisha, tujifundishe ktk kwa Waethiopia Madaispora walichangia kujenag Bwawa kubwa la maji Afrika, kazi ni kwenu

.....duh !!!
 
.....

Ningewashauri kwa kutumia vyama vyenu huko mliko mjipange ili muweze kulifaikisha, tujifundishe ktk kwa Waethiopia Madaispora walichangia kujenag Bwawa kubwa la maji Afrika, kazi ni kwenu

.....duh !!!


Asante kwa kuona makosa nimekwisha rekebisha!
 
Back
Top Bottom