Nelson Jacob Kagame
JF-Expert Member
- Dec 26, 2022
- 9,473
- 12,866
Carlitos Ways Wanaokusumbua ni washikaji ambao hawana namna na connection ila sio lazima uwasaidie mkuu.Na neno""Bata""inategemea na tafsiri yako mkuu,kwetu sisi neno bata inamaanisha kufurahia maisha kwa kujenga nyumba nzuri,kusaidia wazee wetu,kuimarisha biashara zetu,kula vizuri,kuvaa vizuri and ect......Future ipo tu hatuwezi kujinyima sababu ya miaka 50 mbele🤣🤣🤣 Tunaishi present kwa kudra za mwenyezi Mungu,so lazima tufurahie uhai mkuu.Au kwako neno""Bata""linamaanisha nn???Basi msitusumbue huku na connection ***** zenu, endeleeni kula bata tu, Nyie mnawaza kula bata sie tunawaza familia na kizazi chetu miaka 50 ijayo. Tabia zenu hizo za uselfishness kaeni nazo hukohuko.