So what unaishi karibia na Beverly hills kama una mbavu katingishe mbavu zako kwa Kanye West na Kim Kardashian maana ni majirani zako
Kumbe jirani yake Kanye West! Mbona jamaa ni mweusi sana aisee, Au weusi wa kitanzania ni tofauti na weusi wa sehemu nyingine? Aisee kweli nimeamini mange mropokaji.
Kumbe jirani yake Kanye West! Mbona jamaa ni mweusi sana aisee, Au weusi wa kitanzania ni tofauti na weusi wa sehemu nyingine? Aisee kweli nimeamini mange mropokaji.
Yani huyu mwanamke ni mental case kabisa.
Kwanza kabaya,
Pili kana chuki na miwivu
Tatu ana uahamba fulan usioisha chaaa!
Ni wa kihurumia.
Ana chuki mbaya aisee, kuna siku aliweka ugonjwa wa miguu kwenye blog yake, eti wenye miguu minene ndio wanaougua huo ugonjwa, akaweka miguu ya ZARI na kusema wifi yenu mnamsifia ana miguu mizuri kumbe ugonjwa huo kaubeba. Dah. nilishangaa siku nzima unawezaje mchukia binadamu mwenzio naman hii tena hata hamjawahi gombana? Mange hapana aisee, hivi hakuna mpare atuambie maana ya hili jina? au kapewa la kimakonde upande wa mamake tupewe tafsiri yake please pengine jina ndio tatizo sijui ni masumbuko, chuki, mwehu au ? Loh.
Hhhhaaaaaaa itakua blacks wa mbele ni wazungu
Hahaaaaa ndio maana na yeye kumwagiwa maji ya uzima na mzungu kajiona mzungu, hajui hayo maji yana fanana.
Yaan na zile shahawa akimwagiwa na watoto machotara basi anajiona kamalizaaa
na yule bhoke jeee...?!!
weusi km mpingoooo...!!
Ila hua anachekesha sana na mgazeti yakee mim siku hiz nishamzoeaaa
Bali anawaumiza sana anaowaanika kwenye magazeti yake kwa kuwa watu wana ndugu wanaoziona hizo kashfa, yeye alibwatuka kweli alipotukaniwa bhoke na flora, akadai kutukaniwa mtoto inauma, yeye hakomi kawaleta wa shamimu eti wamepauka, juzi tena kaja na mtoto wa mboni eti uwiii mtoto wa chifu kiumbe eti maskini mtoto mamake hasemi ubini wake, sasa hii ya nini? Mange iko shida.
Acha wakosanee sie tucheke banaaaaa
Alizaaga bahati mbaya huyo hhhhaàaaaaaa
Wanawake wanaoishi nje hawatofautiani na wanawake tuliopo tz yaan waswahili balaaaa, lakin hatusikii wanaume wa Huko wakigombana gombana tu ,yaan sijui hawakutegemea kuishi Ulaya ,yaan tabu tupu,
Hongera zake kwa kuudharau weusi ,sie wengine weusi ndio roho zetu ndio zinatukuna balaaa,,,,siku nyingine linaandikaga upuuzi tuu
Huyo linda nae amuache mwenzie kila siku kumsema insta linda nae kazidi uchokozii zamani nilimtetea kanichoshaaa nae
Mi msukuma anapiga box wèeee wala yupo poa tu na marafiki zakeeee ,
Ana chuki mbaya aisee, kuna siku aliweka ugonjwa wa miguu kwenye blog yake, eti wenye miguu minene ndio wanaougua huo ugonjwa, akaweka miguu ya ZARI na kusema wifi yenu mnamsifia ana miguu mizuri kumbe ugonjwa huo kaubeba. Dah. nilishangaa siku nzima unawezaje mchukia binadamu mwenzio naman hii tena hata hamjawahi gombana? Mange hapana aisee, hivi hakuna mpare atuambie maana ya hili jina? au kapewa la kimakonde upande wa mamake tupewe tafsiri yake please pengine jina ndio tatizo sijui ni masumbuko, chuki, mwehu au ? Loh.
Ila hua anachekesha sana na mgazeti yakee mim siku hiz nishamzoeaaa
Acha wakosanee sie tucheke banaaaaa
Wewe, unajua Linda alimkalia kimya sana huyu njiti...
kila post mange alokua akipost alikua lazima amchokonoe Linda.
Yani Linda alisema hamjibu na akakataza watu kumquote kwenye mambo ya Mange.
Amevumilia sana.
Mwache amchambishe.
Anavomtukanaga kajala na Shamy anajiona bingwa sana.