Watajiju hata wangeishi juu ya mti ni wao....
Ngoja mie nicheke maana hata gazeti hilo ziwezi lisoma naenda kumsoma Sakafu mie
Kwani huyo mange kabla hajaolewa alikuwa hajiuzi?
Mi nashangaa tu mange anavyochukia weusi, oohh, hapa nilipo hakuna mwafrika hata mmoja kwani kuwa mwafrika ni dhambi? Yeye anasema mumewe hapendi kuishi huko walipojazana weusi mbona huyo mumewe ana banana na yeye mange kitandani na ushare nae maswala ya ndoa au mange kuolewa na mzungu kajiona nae mweupe? Kama mumewe hapendi hao weusi basi angekaa kimya tu mtu akimbie majirani weusi lkini kaona mke mweusi
Mtu yupo majuu kutwa kuchwa analia na mafanikio ya wenzie East Africa.
Anasema hamna mtz anayesomesha mtt chini ya miaka mitano ila yeye USA nzima.
Mie nadhan zile sembe alizokua anauza mzee wake na huyu alikia anarambishwa sio bure
Tisa kumi anavomwita Florah Lyimo baboon akati yeye ana mtoto wake wa kike anafanana kabisa na tshaka tzulu.
Mtu yupo majuu kutwa kuchwa analia na mafanikio ya wenzie East Africa.
Anasema hamna mtz anayesomesha mtt chini ya miaka mitano ila yeye USA nzima.
Mie nadhan zile sembe alizokua anauza mzee wake na huyu alikia anarambishwa sio bure
Mi nashangaa tu mange anavyochukia weusi, oohh, hapa nilipo hakuna mwafrika hata mmoja kwani kuwa mwafrika ni dhambi? Yeye anasema mumewe hapendi kuishi huko walipojazana weusi mbona huyo mumewe ana banana na yeye mange kitandani na ushare nae maswala ya ndoa au mange kuolewa na mzungu kajiona nae mweupe? Kama mumewe hapendi hao weusi basi angekaa kimya tu mtu akimbie majirani weusi lkini kaona mke mweusi
Tisa kumi anavomwita Florah Lyimo baboon akati yeye ana mtoto wake wa kike anafanana kabisa na tshaka tzulu.
sema wewe....mtu kukaa kwa wazungu tupu ndo kelele zote hizo...kwani si anaweza kukaa uzunguni hlf ndo ukawa maskini wa mtaa.....yaani hajui kwanza yeye mwenyewe anaonyeshaje uafrika wake bila kujua..yaale ule ushamba wetu tipiko!!!
hahahaaaasa
haloooowwwww
nicheke mie mwl wa primaryyy
niliyefeliii,
niliyeanza chekechea miaka tisa ,niliyezaliwa mtanzania asilia
baba,mama,babu na bibi pyua swahiliiii
ingliiish nkaikuta zanaki kwa mama mramba form oneeee
asante serikali kutujali sie walalahoiiiii
haki ya mama tusingesoma ht shule ya msingiii siee
leo ht jf nisingeijua mieee sijui ningekua sitimbi nalimaaa
haya jamani mnaoishi ulaya hongereni sanaaaa
mie ht BURUNDI sikujui hvyook
sembuse wenzetu mnaishi ULAYAAA,mmeolewa na wazungu,matajiri,mnalipa ma ada ht nifanye kazi miaka laki mshahara km huo mie siupati wa ada ya mtoto mmoja....!!
eehhh MUNGU weee niwekeee mieeeeee ....mja wakoooo
nione ya walimwengu jamani...
nishuhudie watu wanavyoishi maisha ya kwenye TAMTHILA
maskini mieer
sema wewe....mtu kukaa kwa wazungu tupu ndo kelele zote hizo...kwani si anaweza kukaa uzunguni hlf ndo ukawa maskini wa mtaa.....yaani hajui kwanza yeye mwenyewe anaonyeshaje uafrika wake bila kujua..yaale ule ushamba wetu tipiko!!!
Hii neighbourhood haina ngozi nyeusi ati, wazungu tuuu,,,,,
Mie mwanangu anasoma,kwanza hakuna mtanzania anaesomesha mtoto marekani
kila mtu anasubiria mtoto afike miaka 5 akasome shule za bure….Watanzania wachache mnooo, tena wakuhesabu ndo utakuta wanasomesha watoto ambao hawajafika 5yrs
Mi nashangaa tu mange anavyochukia weusi, oohh, hapa nilipo hakuna mwafrika hata mmoja kwani kuwa mwafrika ni dhambi?
Yeye anasema mumewe hapendi kuishi huko walipojazana weusi mbona huyo mumewe ana banana na yeye mange kitandani na ushare nae maswala ya ndoa au mange kuolewa na mzungu kajiona nae mweupe? Kama mumewe hapendi hao weusi basi angekaa kimya tu mtu akimbie majirani weusi lkini kaona mke mweusi
matajir wa kizungu tu wanakaa hapo
http://www.zillow.com/homedetails/4321-NE-13th-Ave-Oakland-Park-FL-33334/43083856_zpid/
Yaani upumbavu kweli:
Matajiri wa KUZUNGU - yaani Uzungu ni sifa nyingine zaidi ya utajiri. Katika market ya Fort Lauderdale nyumba ile ya vyumba viwili tena ya kizamani sana (1967) iliuzwa kwa $235,000 tu halafu mtu anasema ni sehemu ya matajiri wa Kizungu tu. Anaweza kuwa ana point nyingine lakini hiyo juu inamdiscredit kabisa.