Dejane
JF-Expert Member
- Jan 1, 2014
- 51,002
- 72,287
Hii nchi ishakuwa ya ajabu sana ,hivi nyie Basata au mawaziri wa sanaa mmeshawah kuwasaidia nini wasanii au kuwainua katika swala La mziki ,
Mkatae mkubali Diamond katutangaza duniani anapoenda kwenye matamasha makubwa ya nchi anabeba Bendera ya nchi ya Tanzania,anapotengeneza video anatumia gharama kubwa sana, pia kuwapata hao wasanii anaowashirikisha ni kazi kubwa,
Halafu anatokea mtu amekurupuka huko eti anamfungia nyimbo wakati hata kuwasaidia wasanii wenu hakuna inafanya mtu afikirie sana. Kwa upande wangu Diamond alivyojibu ni sahihii kabisa na ikibidi kama figisu zinazidi hama tu tutakuelewa maana hili linchi halieleweki yaan ni bongo bahati mbaya ,
Mnazuia mziki wa diamond zuieni na channel tunazoangalia za miziki ya duniani huko. Kwanza sisi mwenyewe tunapenda kuona hivyo vichuchu na vikalio kwenye video na mauno ya feni, maadili my foot hatuyataki hayo maadili yenu sisi yana msaada gani?
Kwa hili Basata fanyeni kazi zingine Hamna msaada na wasanii wa hapa nyumbani. Diamond wakibana hama na hiyo wasafi TV hamishia hata Kenya waimbe wao Basata tuone nani atasikiliza mfyuuuuuu zao.
Halaf li Diamond limenifurahisha kweli likaachia na African beauty eheheh likazidi kuwachafua haswa, Hivi we Shonza una maadili gani!? Diamond yupo jui acheni kumshusha, sijui Watanzania tupoje baadhi yetu au unamtaka Diamond akukaze nini maana kwenye Yale mambo yetu Diamond ni balaa
Mkatae mkubali Diamond katutangaza duniani anapoenda kwenye matamasha makubwa ya nchi anabeba Bendera ya nchi ya Tanzania,anapotengeneza video anatumia gharama kubwa sana, pia kuwapata hao wasanii anaowashirikisha ni kazi kubwa,
Halafu anatokea mtu amekurupuka huko eti anamfungia nyimbo wakati hata kuwasaidia wasanii wenu hakuna inafanya mtu afikirie sana. Kwa upande wangu Diamond alivyojibu ni sahihii kabisa na ikibidi kama figisu zinazidi hama tu tutakuelewa maana hili linchi halieleweki yaan ni bongo bahati mbaya ,
Mnazuia mziki wa diamond zuieni na channel tunazoangalia za miziki ya duniani huko. Kwanza sisi mwenyewe tunapenda kuona hivyo vichuchu na vikalio kwenye video na mauno ya feni, maadili my foot hatuyataki hayo maadili yenu sisi yana msaada gani?
Kwa hili Basata fanyeni kazi zingine Hamna msaada na wasanii wa hapa nyumbani. Diamond wakibana hama na hiyo wasafi TV hamishia hata Kenya waimbe wao Basata tuone nani atasikiliza mfyuuuuuu zao.
Halaf li Diamond limenifurahisha kweli likaachia na African beauty eheheh likazidi kuwachafua haswa, Hivi we Shonza una maadili gani!? Diamond yupo jui acheni kumshusha, sijui Watanzania tupoje baadhi yetu au unamtaka Diamond akukaze nini maana kwenye Yale mambo yetu Diamond ni balaa