Acha uongo bhana.! Hizo tishirt ndo zimeingia sokoni karibuni., zimetoka mwaka jana hizo. Hiyo picha ni mtu anayefanana naye kwa mbaaali au watu wame-edit. Ila huyo siyo Diamond
Huyo jamaa sio Diamond ni kufanana tu, alitokea kwenye afterxul bash 2014 wakati wanatafuta watu waliofanana na mastar na akashinda mtonyo wa kutosha tu..
...teh teh teh...kumbe we choko la Manyanya.,basi ndo maana!...walewale kama baba kama mtoto
kamuulize vizuri babaako kilimkuta nini Club 84 hadi akaacha kuja Njata??
Huyo jamaa sio Diamond ni kufanana tu, alitokea kwenye afterxul bash 2014 wakati wanatafuta watu waliofanana na mastar na akashinda mtonyo wa kutosha tu..
Huyo jamaa sio Diamond ni kufanana tu, alitokea kwenye afterxul bash 2014 wakati wanatafuta watu waliofanana na mastar na akashinda mtonyo wa kutosha tu..