Mla Bata
JF-Expert Member
- Jan 24, 2013
- 8,164
- 18,675
Njia ya kwao hiyo 😂Mbagala kina nchumali wameiteka.
Njia ya kwao hiyo 😂Mbagala kina nchumali wameiteka.
Nyie ni wavuta dawa sio bange,😂😂Mvuta bangi mwenzangu huyo.. namkubali bwana mdogo.
Yuko pamoja na sisi wavuta bangi wenzie.
Ewaaa, sisi wavuta dawa, huyo ni mwanetu wenyewe, kwanza huwa anatutambulisha kwa kikohozi cha mjani mjani🤣Nyie ni wavuta dawa sio bange,😂😂
Usiniseme kama napenda kulaHivi kati ya mjomba nchumali na king kibakuli nani ana ngoma kali zaidi, nani muandishi mzuri zaidi?