Diamond Rudi Shuleni,Ally Kiba Ni KING Kakuzidi sana

Kibo10

JF-Expert Member
Aug 20, 2013
11,277
8,840
Kwa muda sasa nipo hapa JF lakini sijawahi kuandika suala linalohusu bongo fleva.

Lakini leo acha nitowe mtazamo wangu juu ya muziki huo.Huku nikijikita kwa Diamond na Ally Kiba.

Nimeusikiliza wimbo mpya wa Kiba unaitwa Lupela.

Kwa kweli nimemeshimu na kuona uwezo alionao Kiba kwenye muziki zaidi ya Diamond

Na kwa wimbo huu vipo vitu kadhaa akiweza kuvifanyia kazi,Baasi Kiba anaenda kufikisha muziki wake level kubwa.

1.Video iwe kubwa,Hii nyimbo ni mahadhi ya House music na video za aina hii ya muziki,zinahitaji ubunifu na location za dunia ya kwanza.Asijali gharama.

2.Katika wale waliomfanyia video za kwanza,Walimwaribia.Hii asiwape tena amwilike wakubwa zaidi.
Endapo Kiba hii nyimbo akiipa heshima kwa chupa kaaaliiii ni wazi safari ya Diamond itasitishwa ghafla na huyu kijana.Believe me or not

Huu ni wimbo utakuwa maarufu sana kwenye ma club makubwa na si Africa pekee,Hata ulaya hizi ni aina ya mziki wao.

Uwezo alionyesha Kiba kwa huu wimbo,Bila hiyana natamka rasmi,Diamond harudi shuleni.Kiba ni KING kwake.
 
naona kuzungusha mikono na kudeki barabara kumekushinda sasa unarudi kuja kufananisha milima ya Usambara na Mlima Kilimanjaro. Unaonaje wewe ukarudi shule ukausome vizuri mziki?
Acha porojo,Hiyo ngoma ushaisikia?
 
kabla ya na wengine kuisikia nadhani mimi na watu wachache ndio wa kwanza kuisikiliza mkuu Kibo10
 
Kwa muda sasa nipo hapa JF lakini sijawahi kuandika swala linalohusu bongo fleva.
Lakini leo acha nitowe mtazamo wangu juu ya muziki huo.Huku nikijikita kwa Diamond na Ally Kiba
Nimeusikiliza wimbo mpya wa Kiba unaitwa Lupela.
Kwa kweli nimemweshimu na kuona uwezo alionao Kiba kwenye muziki zaidi ya Diamond
Na kwa wimbo huu vipo vitu kadhaa akiweza kuvifanyia kazi,Baasi Kiba anaenda kufikisha muziki wake level kubwa.
1.Video iwe kubwa,Hii nyimbo ni mahadhi ya House music na video za aina hii ya muziki,zinahitaji ubunifu na location za dunia ya kwanza.Asijali gharama.
2.Katika wale waliomfanyia video za kwanza,Walimwaribia.Hii asiwape tena amwilike wakubwa zaidi.
Endapo Kiba hii nyimbo akiipa heshma kwa chupa kaaaliiii ni wazi safari ya Diamond itastishwa gafla na huyu kijana.Believe me or not
Huu ni wimbo utakuwa maarufu sana kwenye ma club makubwa na si Africa pekee,Hata ulaya hizi ni aina ya mziki wao.
Uwezo alionyesha Kiba kwa huu wimbo,Bila hiyana natamka rasmi,Diamond harudi shuleni.Kiba ni KING sana kwake.
Unaongelea wimbo unao fanana na Hussein machozi..
 
watu wanaacha shule kufukuzia ndoto zao,kuna watu maarufu na wakubwa duniani waliacha shule lakini mpaka leo wana maendeleo mara infinity ya huyo kiba wako mfano kanye west mbona na kwenda shule huko kwa alikiba kwanini hamfuniki domo
 
Hivi Diamond anashindanishwa na Ali kiba kwa mafanikio ya muziki au kwa kujua muziki?
unafahamu vizuri na kuyaelewa mambo pale chuoni kwenu lakini kila siku sup unakunywa hadi kufikia hatua ya kutaka ku disco....

huko kijijini kwenu watakuelewaje?
 
Naskia Hussein machozi anataka kufungua kesi baada ya kupeleka malalamiko yake basata na kupewa Go AHEAD..
....
 
Back
Top Bottom