Diamond Platnumz hongera kwa kutoa ajira na Rizki kwa Watanzania wenzio

LICHADI

JF-Expert Member
Feb 4, 2015
4,150
11,197
Tusisubiri mtu afe kama kanumba ndio tumpe sifa zake, tumpe leo leo, Kiukweli mafanikio ya Daimond platnumz yamekuwa ni mafanikio ya watu wengi sana.

Kijana sio mbinafsi anapenda kula keki yake na watu wengine, tokea aanzishe WCB wasanii alio wasajili pale, crew nzima ya wcb pale hukosi watu 60 pale wanaendesha maisha kupitia WCB, ukija kwenye Wasafi Media napo katoa ujira kwa watu wengi sana, hata kama ana share kubwa pale lakini wasafi media ni icon ya Diamond asipokuwepo Diamond wasafi haiwezi kushine.

Kwa show za mikoani na jana tu kwenye show yake ukianzia wasanii hadi kikosi kazi na wafanya biashara kuna watu zaidi ya 1000 msimu huu wamepata ujira sababu ya ile show na show nyingne za miakoani na wanaendesha familia zao

Wapo wanaombeza jamaa anaringa kutembea na wale mabaunsa, mi namshauri atembee nao hata miamoja maana, anawalipa hata kama ni hela ndogo lakini wanaendesha familia zao na wao wanategemewa

kile ni kitendo cha kutumia fedha zako kuwapa wengine rizki, heka heka za Diamond zinawanufaisha watu wengi sana ukiacha wafanyakazi wake hata wamiliki wa media, online na magazeti wanapiga sana hela kupitia habari zake, hiyo ndio tunaita fursa

Wengi wasiompenda huyu jamaa ni watu wenye wivu wa maendeleo, ila kijana anastahili pongezi kwa kuwainua wengine
 
Maisha ni kuchagua wapi usimame..either uwe hater au be Inspired
Ni kwanini sisi wenye ngozi nyeusi huwa tunachagua kuwa haters ?
ni ugonjwa ambao tunazaliwa nao au inakuwaje ?

Sometimes unakuta hata ndugu zako wa damu wanakuwa wapinzani wako kwenye hustle.
 
Tuna laana mimi naona.. kwetu huko ukimwaga mchanga tu upaue nyumba unarogwa..ukifanya kitu cha maendeleo unarogwa.
Wa Tanzania tuna roho ya kukataana. Ndio maana tunasifia mtu akifa
Ni kwanini sisi wenye ngozi nyeusi huwa tunachagua kuwa haters ?
ni ugonjwa ambao tunazaliwa nao au inakuwaje ?

Sometimes unakuta hata ndugu zako wa damu wanakuwa wapinzani wako kwenye hustle.
 
Tuna laana mimi naona.. kwetu huko ukimwaga mchanga tu upaue nyumba unarogwa..ukifanya kitu cha maendeleo unarogwa.
Wa Tanzania tuna roho ya kukataana. Ndio maana tunasifia mtu akifa
Hivi hii ni laana au ukosefu wa elimu?
 
Tusisubiri mtu afe kama kanumba ndio tumpe sifa zake, tumpe leo leo, Kiukweli mafanikio ya Daimond platnumz yamekuwa ni mafanikio ya watu wengi sana.

Kijana sio mbinafsi anapenda kula keki yake na watu wengine, tokea aanzishe WCB wasanii alio wasajili pale, crew nzima ya wcb pale hukosi watu 60 pale wanaendesha maisha kupitia WCB, ukija kwenye Wasafi Media napo katoa ujira kwa watu wengi sana, hata kama ana share kubwa pale lakini wasafi media ni icon ya Diamond asipokuwepo Diamond wasafi haiwezi kushine.

Kwa show za mikoani na jana tu kwenye show yake ukianzia wasanii hadi kikosi kazi na wafanya biashara kuna watu zaidi ya 1000 msimu huu wamepata ujira sababu ya ile show na show nyingne za miakoani na wanaendesha familia zao

Wapo wanaombeza jamaa anaringa kutembea na wale mabaunsa, mi namshauri atembee nao hata miamoja maana, anawalipa hata kama ni hela ndogo lakini wanaendesha familia zao na wao wanategemewa

kile ni kitendo cha kutumia fedha zako kuwapa wengine rizki, heka heka za Diamond zinawanufaisha watu wengi sana ukiacha wafanyakazi wake hata wamiliki wa media, online na magazeti wanapiga sana hela kupitia habari zake, hiyo ndio tunaita fursa

Wengi wasiompenda huyu jamaa ni watu wenye wivu wa maendeleo, ila kijana anastahili pongezi kwa kuwainua wengine
Fact imebaki tumtengenezee statue basi
 
Back
Top Bottom