Diamond, kiba uchawi mtupu!

Diamond, kiba uchawi mtupu!

hizo hirizi ni za mashabiki

watu hawatumii uchawi kwa kutupa hirizi

most of time hirizi ni kitu personal ambayo mtu huivaa kwa imani zake

hizi story za kuuza magazeti
 
Haya mwisho wa siku,kwa wanaojua mziki wa RnB,hawawezi kumuacha Rama D,wengine uchawi tu ndo unawaweka kwenye chati,
 
Daaah nimecheka balaa. Hii nchi kama uchawi tu
 
Back
Top Bottom