Diamond, kiba uchawi mtupu!

Diamond, kiba uchawi mtupu!

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
43,037
Reaction score
34,741
DIAMOND, KIBA UCHAWI MTUPU!


attachment.php


HALI inazidi kuwa mbaya kwa mastaa wawili wa muziki wa Bongo Fleva wanaogombea unyota kimuziki, Nasibu Abdul ‘Diamond Platnumz’ na Ali Saleh Kiba, safari hii yameibuka mapya kwa kila msanii kuogopa kumshika mkono mwenzake kutokana na imani za kishirikina.
 

Attachments

  • Uchawi mtupu.jpg
    Uchawi mtupu.jpg
    92.5 KB · Views: 2,506
watanzania bwana so hapo utakuta kunamtu katumwa arushe icho kitu ili watu wauze gazeti kwani hapo kulikua na daimond na alikiba tu na walijuaje kama ni wasanii walidondosha na mbona haikukutwa jukwaani
 
Una maanisha JK na serikali yake ya CCM ni mizimu?

Itakuwa anamaanisha hivyo,
Maana waziri wa jk B.membe amesema Rais kikwete
Serikali yake inalindwa na majini saba.
 
Wapuuzi hawa maustadhi, dini yao inawaelekezza hivyo?
 
Ulimuona akizitupa uwanjani?
Je kama ni za washabiki waliofurika viwanjani, ziliwakatikia wakati wa furaha ya kucheza nani ajuaye.
 
Back
Top Bottom