Diamond, hivi kweli limelipuka?

Diamond, hivi kweli limelipuka?

Sweetheart, huyu Madam Wema atakutia uchizi bure.. mimba iwe ya mpendwa wako Chibu, Ivan, Katunzi, au hata kama iwe mpwa warumi nae alichovya kwa Zari na kumtia kile kitumbo, bado uhalisia utabaki pale pale kwamba Madam Wema Issack Sepetu ameshaachika!!! Avute tu pumzi labda atarejewa lakini kwa sasa.... aaaaaargh!

Haaaaaa baby mbona mie Nilishakubal kuwa Madam hana chake pale..
 
Last edited by a moderator:
:-🙂-(
 

Attachments

  • 1432833193881.jpg
    1432833193881.jpg
    16 KB · Views: 820
Mpwa bhana, mchana nilikuuliza huu ulimbukeni ulianza lini; hukunipa jibu! Swali langu lingine, hivi huu ushamba mpwa wangu umeanza lini manake wajanja wote wanafahamu kwamba pale Instagram, mtu unaweza ku-post chochote!! Hata wewe unaweza ku-post kwamba Jide sio mgumba na ulishawahi kumtandika mimba lakini akaitoa!!!Yaani hadi unampa matumaini my sweetheart angu Heaven on Earth!! Hivi hapo cha ajabu kwangu nini wakati hata wewe unaweza kuandika kilichoandikwa tena na zaidi ya hapo kisha uka-post instagram!!! Mwandishi mwenyewe, muke ya muganda... yule yule ambae alipewa dongo moja tu kwamba ni housegirl akaanza matusi siku mzima!!!

Kwa sera tu hunaga mpinzani
 
Last edited by a moderator:
Jamani hii sasa ni too much, vyovyote iwavyo mama ndio anayejuwa biological father wa mtoto, pamoja na uswahiliuswahili wa Diamond ni vyema private bizines zake tumuachie mwenyewe na yeye ni binadamu maneno kama haya yanaumiza bado mdogo yule jamani kuhimili misukosuko ya duniani.

point!!
 
Hello, hakuna ndugu nipo poa tu. Hadi naambiwaga nipo kwenye mgmt timu ya D. Mbavu zangu maana wanakubali yashukayo

Mhuu!
Yani mami huwa unashusha migazeti wengine huwa twajipitia tu.
Ila kwenye umbea wetu mwingine huwa nasoma kwa kweli maana huwa unakuwa katika senses zako, sio zile za kilevi levi na ushabiki.
 
Mhuu!
Yani mami huwa unashusha migazeti wengine huwa twajipitia tu.
Ila kwenye umbea wetu mwingine huwa nasoma kwa kweli maana huwa unakuwa katika senses zako, sio zile za kilevi levi na ushabiki.

Ni kweli bibie kwa chibu huwa ana kuwa out of senses ila kwenye ubuyu mwingine yuko vizuri tu.
 
Wema ndio alimuacha Diamond kwa kumpa likizo au alikuwa anatishia kujamba wakati ana tumbo la kuhara? Au alikuwa anajaribu kama ndumba zake bado zina nguvu?

Mpwa vipi mbona maneno mengi hivyooo
 
Back
Top Bottom