PAGAN
JF-Expert Member
- Aug 19, 2014
- 11,226
- 17,804
Kwani ulijipa mimba mpaka ujimilikishe mtoto ukimlea akikua tunamtafuta amjue baba ake. Afu unaoneka unachonga sana ndio maana umebebeshwa mimba na umetekelezwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapana, mimi ni gentleman na nina watoto 2 (twins). No matter what I'll never abandon them.
Kitu kingine najitengenezea fainali yangu mwenyewe, sitegemei watoto wangu wakue waje waninunulie unga wa kula.
Hapa unatakiwa uchemshe Bongo badala ya kunitusi.