Sharobaro la jf
JF-Expert Member
- Apr 23, 2020
- 237
- 323
Binafsi mimi sio shabiki wa muziki ila sijatokea kumuelewa huyu msanii Diamond Platnumz kabisa kuanzia staili ya uimbaji wake yaani naona kabisa jina ndio linambeba mda huu.
Kiukweli ukimuweka Diamond wa sasa na Mario basi jua kabisa bila jina, Diamond haingii kwa Mario hata mara moja, siku hizi amekuwa na unaigeria mwingi na uandishi wa kawaida sana.
Atleast kwa miaka miwili hii nyimbo aliyojitahidi kidogo kiutunzi basi ni Ile ya Sikomi lakini toka hapo amekuwa akitoa nyimbo mbovu sana, kwa sasa japo sio mpenzi wa muziki ila wasanii ninaona wanafanya vizuri kidogo pale WCB ni Rayvany pamoja na Lavalava ila kuanzia Diamond, Zuchu na Queen darlen naona bora watafute kazi nyingine ya kufanya kama sio kuvua samaki au wajikite kwenye utengenezaji wa barakoa.
Kiukweli ukimuweka Diamond wa sasa na Mario basi jua kabisa bila jina, Diamond haingii kwa Mario hata mara moja, siku hizi amekuwa na unaigeria mwingi na uandishi wa kawaida sana.
Atleast kwa miaka miwili hii nyimbo aliyojitahidi kidogo kiutunzi basi ni Ile ya Sikomi lakini toka hapo amekuwa akitoa nyimbo mbovu sana, kwa sasa japo sio mpenzi wa muziki ila wasanii ninaona wanafanya vizuri kidogo pale WCB ni Rayvany pamoja na Lavalava ila kuanzia Diamond, Zuchu na Queen darlen naona bora watafute kazi nyingine ya kufanya kama sio kuvua samaki au wajikite kwenye utengenezaji wa barakoa.