Diamond ft P Square soon to be released

Ameanza nyodo, angalia usije wadharau kama ulivyofanya kwa davido aliyekutoa
 
Na hii ndio tofauti ya NEMBO YA TAIFA na yule wanayemlazimishia bifu wakati wenyewe ni full amani tu
 
Yule ninja wa kuruka ukuta atakonda safari hi atavunja matikiti coz nazi zimepanda bei!
 

hahaaaaaaaaaaaaaaaa unanikoshaaaaaaaaaaa
 
Bado kuna ft mbili hazijaachiwa pia
Ft Mafikizolo
Na ft Fally Ipupa

Na wapo kwenye hatua za mwisho kukubaliana kufanya ft na kichwa kimoja kinasumbua sana Usa kwa sasa

Hard work pays
Kijana anajua kutumia fursa
 
tena bado kolabo na Usher raymond.....mtaxema tena kuna mbongo alisha fanyanae kolabo.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…