Sasa cc tufanyeje?Leta mada nzito siyo hizi nyepec na binafc.
jamaa angepewa kazi kusimamia mtambo wa nyuklia angekua haongei na mtu !Kila siku mada nzito tu.....Pumzisha kichwa siku moja moja.
dayamondi nooooouuumeeeer.
Sikujua kama anatema mayai yaleee
me love this bwoyy.
Nyambaf zang mwenyewe lol
kafanyaje ?Ally kombo?
kafanyaje ?
Sasa cc tufanyeje?Leta mada nzito siyo hizi nyepec na binafc.
Sasa cc tufanyeje?Leta mada nzito siyo hizi nyepec na binafc.
kwa kuimba ni kweli sauti haikuwa safi kivile ila kwenye kucheza kijana wa watu kacheza saafi sana,hasa mwimbo wa kwanza kashangiliwa sana.big up diamond!nilihofia asitegue ulimi tu.....
Ila wimbo wa moyo wangu hakuuimba vyema(mtazamo wangu)