Labani og
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 22,854
- 32,657
Nyota wa Bongo Fleva, diamondplatnumz , ametunukiwa Cheti Maalum cha Heshima baada ya kufanikisha kuuza tiketi zote na kujaza ukumbi maarufu wa Royal Albert Hall jijini London, Uingereza.
Huu ni utaratibu wa heshima unaotolewa na baadhi ya kumbi kubwa duniani kwa wasanii wanaofanikiwa kufanya onesho lililojaza ukumbi kwa asilimia 100.
Diamond Platnumz ameandika historia kwa kuwa mmoja wa wasanii wachache kutoka Afrika Mashariki waliowahi kutumbuiza katika ukumbi huo mkubwa na wa kihistoria uliojengwa tangu mwaka 1871. Onyesho lake lilihudhuriwa na maelfu ya mashabiki kutoka pembe mbalimbali za dunia.
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
Diamond Platnumz ameandika historia kwa kuwa mmoja wa wasanii wachache kutoka Afrika Mashariki waliowahi kutumbuiza katika ukumbi huo mkubwa na wa kihistoria uliojengwa tangu mwaka 1871. Onyesho lake lilihudhuriwa na maelfu ya mashabiki kutoka pembe mbalimbali za dunia.
Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
| @errymars_