Laki Si Pesa
JF-Expert Member
- Dec 20, 2018
- 4,838
- 8,674
ni ngumu kwa demu kumkataa D, nilivyomuona Diamond na crew yake juzi kati pale Grand Melia Hotel na gharama za pale, jamaa ana pesa kiasi chake.
Ina maana pamoja na urembo/uzuri/ulimbwende wa Mimi mars wote huo hakuwaga na njemba yeyote kabla ya hio promo ya mondi??
Alikua anatumia dildo ama vepe
Hata ukimwi ukiwa na ela ni kugusa tu coz watoto wazuuuri watajisogeza then utaona ugumu wa kula pipi na maganda yake.Nilijua ukiwa mkubwa unafaidi haya maua ya duaniani kumbe mpka uwe na hera jmn tutafute hera kwa udi na uvumba wenye hera wanafaidi!??
Ukimtaka utampata ila lazima salio liwe la kueleweka😅😅😅I'm real for this gal, hua hata siangaliii tena nyimbo zake. Nikimuona hisia zinapanda kwa kiwango kikubwa sana mbaya zaidi siwezi kumpata
Daah..kumbe nayeye "kakitembeza' kimtindo...ni mgawa uchi wa kimya kimyaKuna dogo anatangaza clouds
Anaitwa perfect Chrispin, Kala Sana pale
🤣🤣🤣🤣🤣🤣I'm real for this gal, hua hata siangaliii tena nyimbo zake. Nikimuona hisia zinapanda kwa kiwango kikubwa sana mbaya zaidi siwezi kumpata
Nikiwaza tu kuhusu dini wapo tofauti najua picha haliwezi fika mbaliHuyuu atapewaa dyudyuu na kuachwaaa maana hana kipyaa cha kumtulizaa mondi
roho inakuumaje kaka?Yani mim kama wew hapa roho imeniuma kwakwer yni mbele ya pesa akuna kinachoshindikana
kila mtu anavigezo vyake katika kuchagua mkuu hivo huenda kwa vigezo vyake ni mqali bt kwa vigezo vyako ni wa kawaidademu wa kawaida mno huyu kiufupi siyo level za mondi kabisa
hela siyo heraNilijua ukiwa mkubwa unafaidi haya maua ya duaniani kumbe mpka uwe na hera jmn tutafute hera kwa udi na uvumba wenye hera wanafaidi!??
😂😂😂😂Katika wasanii wakike nilikua na wish kuja kuwatafuna nikiokota hela basi ni huyu Mimi mars huyu mtoto anaonekana ni mtamu jamani
Maninaa kaisha ingia kwenye himaya ya simba mla watu, atatafunwa mpaka kucha
Umewahi kusikia habari za vijana wengi wa miaka ya 80+ kuwa mavumbi kabla ya kufikisha miaka 40?I'm real for this gal, hua hata siangaliii tena nyimbo zake. Nikimuona hisia zinapanda kwa kiwango kikubwa sana mbaya zaidi siwezi kumpata
Hamna harusi hapo mwisho wa siku yeye na mdogo wake watakuwa wanalia kilio kimoja.Nasubiria harusi ya vmoney
Hamna harusi hapo mwisho wa siku yeye na mdogo wake watakuwa wanalia kilio kimoja.
Out of topic.
Magoli ya Man ushaweka.
Mkuu mimi nimefanya tafakuri na nimefikia hitimisho kuwa hawa hawana mahusiano, ila huenda Mimi Mars ndiye msanii mpya atakayetangazwa chini ya label ya WCB atakayetangazwa. Nimetazama ile video walikuwa kwenye swmming pool nikaunga picha yuko studio nikawaza hivyo.Wasalaam wana Jamvi!
Baada ya mwana muziki bora kabisa Tanzania kumsifia mdogo wa mwanamuziki Vannesa Mdee hivi karibuni kwenye ukurasa wake wa instagram “ haka katoto nakapendaga basi tuu”.
p
Baada ya hayo maneno ya on line unaambiwa ni kama Diamond aliagiza vile bidhaa on line hivyo alicho subiri ni kufikishiwa mzigo huo nyumbani ili aulipie....
Baada ya siku mbili ilibidi Aristote ahakikishe Bidhaa hiyo inafika nyumbani salama kabisa!
Diamond hakikisha na huyu binti una mnunulia gari au nyumba sio zawadi ya mtoto tuu....
Hongera sana Mimi Mars!