Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,107
- 173,906
Hamna cha kujuana, Mkurugenzi hatongozagi anaitisha mtu. Au anaacha maagizo..ile ilikuwa geresha tu! Katika akili yako unategemea demu wa kibongo akatae kudate na mtu kama Diamond? Hata dada yako mwenyewe akiitwa Wasafi lazma atakimbiza fito zake chap.hao walikua washamalizana muda mrefu ni vile tu walitafuta njia ya kuujulisha umma, we unaona baada ya post ile mimi mars amekua akishusha mistari ya maandiko as if ni mtu wa dini sana, inshort wametumia mbinu za kijanja sana kuujulisha umma mahusiano yao