Hakuna lolote!!! hakuna mmzungu wa maana hata moja anayeweza kuhudhuria, wengi huwa naona ni wabeba box wachache waliotoka afrika sana sana afrika mashariki tena kwenye kaukumbi ambacho kapo kama darasa la wanafunzi
Tena we umeongea ukweli ila huko Tanzania watawadanganya wabongo na walivyo wajinga wataamini kuwa Diamond katia fora Marekani kumbe kapiga kwenye kaukumbi ka shule tu na ni wabeba mabox chini ya 200 ndiyo watakaoudhuria. Ngoja ifike hiyo Jumamosi, utasikia uwongo mwiiiiiingi when there's no truth at all.
Dogo tulia weweee,Mimi ni show kali weweee,wengine bongo tumeiacha miaka 20 iliyopita,tunagonga watoto wakali tu huku,na nikiwa ukumbini nitakwenda kwenye dancing flow uone nitakavyokuwepo kwa show na nitarusha pic humu humu
Dogo tulia weweee,Mimi ni show kali weweee,wengine bongo tumeiacha miaka 20 iliyopita,tunagonga watoto wakali tu huku,na nikiwa ukumbini nitakwenda kwenye dancing flow uone nitakavyokuwepo kwa show na nitarusha pic humu humu
Hakuna lolote!!! hakuna mmzungu wa maana hata moja anayeweza kuhudhuria, wengi huwa naona ni wabeba box wachache waliotoka afrika sana sana afrika mashariki tena kwenye kaukumbi ambacho kapo kama darasa la wanafunzi
Hakuna lolote!!! hakuna mmzungu wa maana hata moja anayeweza kuhudhuria, wengi huwa naona ni wabeba box wachache waliotoka afrika sana sana afrika mashariki tena kwenye kaukumbi ambacho kapo kama darasa la wanafunzi
Hata mimi nashangaa ndio kuchafua gani huko! Hayo makaratasi mtu yoyote anaweza ku-print. Lakini kwa sababu wabongo ni washamba huwa wanakubali kuwa kweli anaweza kuwa maarufu USA. Kwanza mabango ya wanamuziki ''wanaoichafua'' USA huwa yanawekuwa ya kilalahoi namna hii? Hapo bwana anawapataga wale wabeba box wachovu wa kiafrika tena wengi East AfricA ambao hawamudu kuingia viwanja vya ukweli.
Hakuna lolote!!! hakuna mmzungu wa maana hata moja anayeweza kuhudhuria, wengi huwa naona ni wabeba box wachache waliotoka afrika sana sana afrika mashariki tena kwenye kaukumbi ambacho kapo kama darasa la wanafunzi