Alfu Lela Ulela
JF-Expert Member
- Oct 29, 2010
- 1,255
- 77
Leo mwenyekiti wa ccm mkoa wa Mwanza amenukuliwa na radio City fm akikosoa mfumo wa elimu na matokeo ya shule za kata. katika moja ya maneno yake amesema "tumewajengea shule kila kata, lakini wameshindwa kuziendeleza, matokeo yake vimekua vituo vya kutengeneza zero kwa watoto wetu"Hoja si shule za kata kufelisha ila hoja ni anaposema TUMEWAJENGEA SHULE. hizi shule zilijengwa na Lowasa.je Dialo nae ni kambi ya EL?