Dialo kugombea ubunge jimbo la Kwimba

Dialo kugombea ubunge jimbo la Kwimba

mandago shululu

Senior Member
Joined
Mar 24, 2013
Posts
125
Reaction score
37
Kuna tetesi kwamba mwenyekiti wa ccm mkoa wa mwanza Anthon Dialo atagombea ubunge jimbo la kwimba kupitia chama chake cha ccm,hii imebainika baada ya kufanya sherehe ya kuwashukuru wananchi wa jimbo la kwimba kwa kumchagua kuwa mwenyekiti wao wa mkoa,sherehe hiyo ilifanyika Kata ya hungumalwa wiki jana.

Kwa ushauri wangu tu ni kwamba usije ukathubutu na kujidaganya kugombea ubunge jimbo la kwimba,hilo jimbo kwa sasa linasubiliwa na chadema kwa asilimia 100,aibu uliyoipata kwa kushindwa mwanza na kiwia itakuwa mara tatu ya aibu utakayoipata jimbo la kwimba 2015 ukijindanganya kugombea na ndio itakuwa kufilisika kisiasa na kubaki kuwa mfanyabiashara tu.

Mandago 2015 kwimba@
 
Last edited by a moderator:
Kuna tetesi kwamba mwenyekiti wa ccm mkoa wa mwanza Anthon Dialo atagombea ubunge jimbo la kwimba kupitia chama chake cha ccm,hii imebainika baada ya kufanya sherehe ya kuwashukuru wananchi wa jimbo la kwimba kwa kumchagua kuwa mwenyekiti wao wa mkoa,sherehe hiyo ilifanyika Kata ya hungumalwa wiki jana.

Kwa ushauri wangu tu ni kwamba usije ukathubutu na kujidaganya kugombea ubunge jimbo la kwimba,hilo jimbo kwa sasa linasubiliwa na chadema kwa asilimia 100,aibu uliyoipata kwa kushindwa mwanza na kiwia itakuwa mara tatu ya aibu utakayoipata jimbo la kwimba 2015 ukijindanganya kugombea na ndio itakuwa kufilisika kisiasa na kubaki kuwa mfanyabiashara tu.

Mandago 2015 kwimba@
Kama mgombea wa Chadema Kwimba kwa 2015 ni yule rais wa Marekani!, then andika mmeumia!.
Pasco
 
Hilo jimbo linaongozwa na yule mmiliki vituo vya mafata Mansoor. Leticia Nyerere ndiyo mgombea wa Chadema lakini anaishi Marekani.
 
Tusigombee ufito tunahitaji tume huru na daftari lililoblreshwa haya mengine ni kupoteza rasilimali muda.
 
Kuna tetesi kwamba mwenyekiti wa ccm mkoa wa mwanza Anthon Dialo atagombea ubunge jimbo la kwimba kupitia chama chake cha ccm,hii imebainika baada ya kufanya sherehe ya kuwashukuru wananchi wa jimbo la kwimba kwa kumchagua kuwa mwenyekiti wao wa mkoa,sherehe hiyo ilifanyika Kata ya hungumalwa wiki jana.

Kwa ushauri wangu tu ni kwamba usije ukathubutu na kujidaganya kugombea ubunge jimbo la kwimba,hilo jimbo kwa sasa linasubiliwa na chadema kwa asilimia 100,aibu uliyoipata kwa kushindwa mwanza na kiwia itakuwa mara tatu ya aibu utakayoipata jimbo la kwimba 2015 ukijindanganya kugombea na ndio itakuwa kufilisika kisiasa na kubaki kuwa mfanyabiashara tu.

Mandago 2015 kwimba@

hatutaki chama cha wachaga 2015 usukumani, utajisumbua bure na akili zako za fuata upepo
 
Last edited by a moderator:
Hap kwimba kuna rafiki yangu mmoja tunafanya kazi ofice moja ana itwa shuda nyanda ndoo kaitwa na wazee wa uko akagonbee sasa huyo diaro atapitia wali?
 
Back
Top Bottom