Yaani lowasa ana rotate kwenye vichwa vya watu utadhani matangazo ya kampuni za simu za tigo voda na Airtel yaani kila dakika, kila siku. Tuliosoma masuala ya marketing hii ni advantage kwa mamvi kwenye safari yake... Ni sawa na CCM wanavyoiimba chadema kucha kuchwa...ni advantage kwa sisi makamanda