Dhuluma, uonevu, uasherati Mahakama ya Rufaa-dokezo

Itei tei lya Kiteee hizo habari nami nimesikia na kusoma hiyo barua ndefu saaaaana.
Kwa ufupi hiyo barua imeandikwa na mtu mmoja tena akijifanya ni mtumishi wa mahakama
ya rufaa akitoa kashfa nyingi kwa Msajili na viongozi wengine waandamizi wa mahakama
kisa ni kutopewa posho.Cha kujiuliza hapa yeye ni nani hadi ajifanya anawakilisha wenzie?
pili kama ni malumbano kuna idara au ofisi alipaswa kwenda kutoa malalamiko yake.
Hutu bwana anataka alipwe mshahara mkubwa wakati yeye ni mhudumu wa kawaida
na ambae hataki kujiendeleza ili apande cheo anataka julinganisha na wakuu wake wa kazi ni kichekesho?
Hizo kashfa hazina uthibitisho wowote ni majungu ukizingatia wafanyakazi wengi wa mahakama
ya rufaa hasa wahudumu ni wale wa darasa la saba fikiria wanachowaza hawa wanakurupuka
.Binafsi naona ni hoja ambazo hazina mshiko.hajathibitisha nani kaonewa, halipwi mshahara? dhuluma ipi nani kanyimwa mshahara? mhudumu anataka apande cheo kipi sasa awe karani? sceretary akiingia ofisini kwa bos wake akikaa kidgo hata kama
anaelekezwa jambo basi ataambiwa alikuwa anachombezwana boss wake.Hio barua inadai hata jaji mkuu
aliepita nae alikuwa na mahusiano ofisini hili jambo ni hatari kabisa hakuna JM mwenye haiba na heshima kama
Ramadhani.
Tuwapuuze hawa wafanyakazi wasiokuwa na shukrani wasiojua namna ya kutetea maslahi yao
ktk chombo husika badala ya kuandika majungu na kutishia kuwauwa wakuu wao wa kazi eti kama hawatasikizwa.
Naitetea mahakama ya Rufaa kwani naijua fika.
 
Itei tei lya Kiteee hizo habari nami nimesikia na kusoma hiyo barua ndefu saaaaana.
Kwa ufupi hiyo barua imeandikwa na mtu mmoja tena akijifanya ni mtumishi wa mahakama
ya rufaa akitoa kashfa nyingi kwa Msajili na viongozi wengine waandamizi wa mahakama
kisa ni kutopewa posho.Cha kujiuliza hapa yeye ni nani hadi ajifanya anawakilisha wenzie?
pili kama ni malumbano kuna idara au ofisi alipaswa kwenda kutoa malalamiko yake.
Hutu bwana anataka alipwe mshahara mkubwa wakati yeye ni mhudumu wa kawaida
na ambae hataki kujiendeleza ili apande cheo anataka julinganisha na wakuu wake wa kazi ni kichekesho?
Hizo kashfa hazina uthibitisho wowote ni majungu ukizingatia wafanyakazi wengi wa mahakama
ya rufaa hasa wahudumu ni wale wa darasa la saba fikiria wanachowaza hawa wanakurupuka
.Binafsi naona ni hoja ambazo hazina mshiko.hajathibitisha nani kaonewa, halipwi mshahara? dhuluma ipi nani kanyimwa mshahara? mhudumu anataka apande cheo kipi sasa awe karani? sceretary akiingia ofisini kwa bos wake akikaa kidgo hata kama
anaelekezwa jambo basi ataambiwa alikuwa anachombezwana boss wake.Hio barua inadai hata jaji mkuu
aliepita nae alikuwa na mahusiano ofisini hili jambo ni hatari kabisa hakuna JM mwenye haiba na heshima kama
Ramadhani.
Tuwapuuze hawa wafanyakazi wasiokuwa na shukrani wasiojua namna ya kutetea maslahi yao
ktk chombo husika badala ya kuandika majungu na kutishia kuwauwa wakuu wao wa kazi eti kama hawatasikizwa.
Naitetea mahakama ya Rufaa kwani naijua fika.

Thread yako umeinza vizuri sana,kwa kumuomba aliyeandika hiyo barua (ambayo haijawekwa hapa jamvini) kutoa ushahidi wa tuhuma alizozianisha kwenye hiyo barua yake....ndich anachopaswa kufanya na siyo kupayuka tu...Lakini mkuu na wewe unapo-take side na kutetea upande mmoja hapo hapana mkuu..
 
maelezo yangu yako wazi nimeeleza nlichokisoma kwenye hiyo barua.Kutetea alieandika hiyo barua ntakua napoteza muda
wana madai yao ndio lakini wapeleke idara husika kuna vitengo mahakama ya rufaa vinahusika
yeye alivoandika anamtishia jaji mkuu na wakuu wengine wa kazi huo ni utovu wa akili.Pili katishia hata kuwaua kama madai yao yasiposikilizwa kwa mtu mweye akili wala hii mada sio ya kudiscus hapa.
Wangekuwa na ushaidi wa kutosha ningewaelewa.Omba Mungu kama upo serikali usikutane na watu kama hawa wasioelewa jinsi ya kudai haki zao wakitumia majungu na vitisho hata uchawi.
Ktk jukwaa letu sidhani kama kuna haja ya kupoteza muda kudiscuss hii mada.
 
bwana Gathili sii vema kusema napayuka.yeye hajaiweka kwa hivo kila anaeijua hii mada anapaswa kuchangia na ndicho nlichofanya.we toa maoni yako na sio kusema napayuka,kama ww ni great thinker usingethubutu kusema hivo toa msimamo wako kila mtu ana uhuru wa kutoa maoni kw akadri anavoguswa.unapojibu wanaJF tumia lugha ya busara
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom