Nakubaliana na wewe XP lakini pia pamoja mfumo huu mbovu kama kungekuwa na political will ya viongozi wetu mambo yangeenda vizuri kidogo,mbona ipindi cha Mwl hali ilikuwa nzuri,mbona miaka 15 iliyopita hali ilkuwa nzuri,je mfumo ulikuwa sio huu?Kwa kusema haya haipanishi kuwa nakubaliana na mfumo uliopo sasa,la hasha..