Leslie Mbena
JF-Expert Member
- Nov 24, 2019
- 207
- 677
TUSICHEZE NGOMA YA KIGOGO WALA CHADEMA.
Kwa namna yoyote ile tusiingie katika mtego wa dhihaka kwa wanaccm wenzetu,tuamini kila mwanaCCM anastahili kuwa mahali fulani kwa wakati wowote,
Leo imempendeza Rais kumteeua CS mwingine haina maana kwamba Daktari Bashiru ana makosa la hasha,
Dhihaka anazopewa Daktari Bashiru na wapinzan ni kwasababu ya kazi ya kurudisha majimbo yote CCM,
Tumtie moyo kwa kutambua mchango wake kwa chama chetu cha Mapinduzi, Daktari Bashiru ni binadamu na anastahili heshima yake,CCM kwanza.
Daktari Bashiru ndie Katibu Mkuu aliyetuvusha kurudisha majimbo yote CCM,hii ni historia na itakumbukwa.
Kwa namna yoyote ile tusiingie katika mtego wa dhihaka kwa wanaccm wenzetu,tuamini kila mwanaCCM anastahili kuwa mahali fulani kwa wakati wowote,
Leo imempendeza Rais kumteeua CS mwingine haina maana kwamba Daktari Bashiru ana makosa la hasha,
Dhihaka anazopewa Daktari Bashiru na wapinzan ni kwasababu ya kazi ya kurudisha majimbo yote CCM,
Tumtie moyo kwa kutambua mchango wake kwa chama chetu cha Mapinduzi, Daktari Bashiru ni binadamu na anastahili heshima yake,CCM kwanza.
Daktari Bashiru ndie Katibu Mkuu aliyetuvusha kurudisha majimbo yote CCM,hii ni historia na itakumbukwa.