Lema hajaleta maendeleo yoyote Arusha zaidi ya vurugu!
Na sasa hivi anaendelea kuprovoke polisi...mwenendo huu hauna manufaa kwa watu wa Arusha.
Lema hajaleta maendeleo yoyote Arusha zaidi ya vurugu!
Na sasa hivi anaendelea kuprovoke polisi...mwenendo huu hauna manufaa kwa watu wa Arusha.
Ulitaka akuletee maendeleo kitandani?
Polisi ni watumishi wa hali ya chini wasio na elimu wala kipato cha maana. Hawaelewi kutetewa wanajikomba kwa CCM. Sasa hapa Arusha CCM out bado kata moja. Wajitayarishe kwenda shule wewe ukiwepo maana mtaji wenu wa ujinga ni mzigo hapa Arusha lazima tuutue
Tulimtaka asifanye kampeni kwa kiasi fulani amesikia
Eti lemahapigi kampeni Arusha na kuamini kuwa ushindi wa madiwani ni sawasawa na ushindi wake.
Hii ni dharau kwa watu wa Arusha na kuhisi kuwa watu wa Arusha hawajitambui.
Ukweli ni kwamba Arusha inachagua maendeleo na sio vurugu.
Eti lemahapigi kampeni Arusha na kuamini kuwa ushindi wa madiwani ni sawasawa na ushindi wake.
Hii ni dharau kwa watu wa Arusha na kuhisi kuwa watu wa Arusha hawajitambui.
Ukweli ni kwamba Arusha inachagua maendeleo na sio vurugu.
Lema hajaleta maendeleo yoyote Arusha zaidi ya vurugu!
Na sasa hivi anaendelea kuprovoke polisi...mwenendo huu hauna manufaa kwa watu wa Arusha.
Ninyi ni kawaida yenu, watu wakidai mambo ambayo ni haki yao tayari mnatafsiri kuwa ni vurugu. Kwa Taafira yako ubunge wa Arusha CCM wanaenda kama wasindikizaji tu.Eti lemahapigi kampeni Arusha na kuamini kuwa ushindi wa madiwani ni sawasawa na ushindi wake.
Hii ni dharau kwa watu wa Arusha na kuhisi kuwa watu wa Arusha hawajitambui.
Ukweli ni kwamba Arusha inachagua maendeleo na sio vurugu.
Eti lemahapigi kampeni Arusha na kuamini kuwa ushindi wa madiwani ni sawasawa na ushindi wake.
Hii ni dharau kwa watu wa Arusha na kuhisi kuwa watu wa Arusha hawajitambui.
Ukweli ni kwamba Arusha inachagua maendeleo na sio vurugu.
Eti lemahapigi kampeni Arusha na kuamini kuwa ushindi wa madiwani ni sawasawa na ushindi wake.
Hii ni dharau kwa watu wa Arusha na kuhisi kuwa watu wa Arusha hawajitambui.
Ukweli ni kwamba Arusha inachagua maendeleo na sio vurugu.