Phlagiey
JF-Expert Member
- Oct 26, 2013
- 3,487
- 1,651
(Mpaka wake ni ridhiko)Mpaka wa kinachotosha na kisichotosha ni upi?
Ila
Sitachoka ku kusisitiza kujibu maswali kabla ya kuuliza swali.
Hapo sasa ndo swali la msingi lilipo ambapo unapaswa kujiuliza mwenyewe kwanini utumie hiyo ya maswali.Kama kuna njia nyingine kwa nini ni lazima nitumie hizo na si hii ya maswali?
Elewa kwanza tofauti ya kujiuliza na kuuliza, ni kwamba unacho kifanya wewe sio kuuliza maswali ndo maana hakimfanyi mtu kujifikirisha.Kwa nini unasema hakuna mambo ya kujiuliza, wakati nishauliza maswali?