Kwahiyo hizi kelele za TEC na makam was Sasa zinaweza shinikiza akajiuzulu ili ateuliwe mwingine!!?Makamu wa wa raisi wa Richard Nixon alikuwa Spiro Agnew alikuwa na asili ya Ugiriki. Huyu mjamaa akiwa makamu wa raisi alipokea rushwa zaidi ya dola laki moja na akashtakiwa mahakamani.
Pia akakiri kosa la kutotangaza mali zake na ndo akajiuzulu. Hivyo Agnew alikuwa makamu wa Nixon kati ya mwaka 1969 na 1973.
Agnew alipojiuzulu, ndo Nixon akapendezeza jina la Gerald Ford kuwa makamu wake na ndie aliekuja kuwa raisi baadaya Nixon kujiuzulu.
Unawaza vibaya.Hayaeleweki nawaza!
Comrade fudging za uchaguzi Tanzania hazijaanza na samiah pekee!!Unawaza vibaya.
Hao wote unaowazungumzia hawakuchaguliwa na waTanzania. Wamejitangaza tu kuwa wao ndio watawala; halafu "kuwaza kwako" kubaya unakubaliana nao kwamba wapo madarakani kihalali!
Hapo nawe unakuwa mshiriki wa kuhalalisha uovu kwa waTanzania.
Wahuni watamweka makamba junior!Hapa atafutwe Gerald Ford.
Kwa Sasa naona ni Bora kuliko huu uelekeo tunaoenda naoWahuni watamweka makamba junior!
Mkuu unasema watamweka Makamba Junior, kwa utaratibu upi?Wahuni watamweka makamba junior!
Makamba junior kwasasa hana back up kashakatwa mkia na nafasi yake imechukuliwa na rizmokoWahuni watamweka makamba junior!
Huwezi jua Mzee wao kamweka kama kete ya kimkakati kwa wakati sahihiMakamba junior kwasasa hana back up kashakatwa mkia na nafasi yake imechukuliwa na rizmoko
Hakuna kitu kama hicho hao wakikubwaga wamekubwaga unahisi kwanini nape kapewa ubunge lakini yeye kakatwa kwenye kula za awali?Huwezi jua Mzee wao kamweka kama kete ya kimkakati kwa wakati sahihi
Mbona ameeleza vizuri?Richard najua unazungumzia Makamu wa rais kama rais mtarajiwa na sio rais mteule ambaye hajaapishwa, naona kama umewachanganya watu kidogo,
Kwa hiyo hii ndiyo 'justification' ya waTanzania wakubali yaishe; au una maana gani?Comrade fudging za uchaguzi Tanzania hazijaanza na samiah pekee!!
Hizi ni sababu za kipuuzi kabisa zinazotolewa na wapumbavu.Kwa sasa tofauti ni kwamba huyu ni mwanamke na ni mzanzibari ,kwani angekua mwanamme mtanganyika ndio kacheza faulo za uchaguzi unadhani nani angeandamana na vurugu kibao kama hizo za mo29!!?
OkayMakamu wa wa raisi wa Richard Nixon alikuwa Spiro Agnew alikuwa na asili ya Ugiriki. Huyu mjamaa akiwa makamu wa raisi alipokea rushwa zaidi ya dola laki moja na akashtakiwa mahakamani.
Pia akakiri kosa la kutotangaza mali zake na ndo akajiuzulu. Hivyo Agnew alikuwa makamu wa Nixon kati ya mwaka 1969 na 1973.
Agnew alipojiuzulu, ndo Nixon akapendezeza jina la Gerald Ford kuwa makamu wake na ndie aliekuja kuwa raisi baadaya Nixon kujiuzulu.
Hakuna kitu kama hicho hao wakikubwaga wamekubwaga unahisi kwanini nape kapewa ubunge lakini yeye kakatwa kwenye kula za awali?
Nape hana madhara Kwa rizimokoNadhani Nape kwa sasa ni kama wale wachezaji wa Sub,
Yuko bench huko mbeleni wanaweza kumtumia.
Au uhalisia ni upi mkuu?