...wind energy ndio itatuondolea matatizo yetu ya umeme sio vinginevyo..Germany sasa wamefikia 110,000 MW from wind energy,Tanzania nchi nzima hata hatuhitaji 1000MW na approx. cost za kujenga 100MW hazifiki hata 100m$,huku Richmond na IPTL tuliwapa 100's of millions kwa umeme ambao unatucost milele...
Wind technology imemprove sana miaka ya karibuni,jamani we need that kama kuna mhusika humu afanye kazi yake...information zote zipo kwenye internet,hope tutaweza kuwa exporter wakubwa wa UMEME na viwanda vyetu tukaweza kuzalisha kwa bei rahisi,kwa ufupi tutawasha engine yetu ya maendeleo maana umeme ni kila kitu(ENERGY)